The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Nape huyuhuyu mwenye bichwa kubwa kama la harmonize lakini akili kisodaKwa kua siasa ni mchezo usiotabirika, kadhalika anaeweza kuimudu ni yule mwenye uwezo mkubwa wa kusoma alama za nyakati. Alifanya kosa kidogo kwa kuchelewa kumsoma bosi wake wa awali ila amecheza karata vizuri ambapo kwa sasa ameanza kuteka mioyo ya makundi mbalimbali ndani na nje ya chama. Ukimlinganisha na wanasiasa wengine tangu ccm mpaka upinzani sioni wa kumshinda. Tumuombee uzima na afya tele.
Atakua raisi wa ufipaKwa kua siasa ni mchezo usiotabirika, kadhalika anaeweza kuimudu ni yule mwenye uwezo mkubwa wa kusoma alama za nyakati. Alifanya kosa kidogo kwa kuchelewa kumsoma bosi wake wa awali ila amecheza karata vizuri ambapo kwa sasa ameanza kuteka mioyo ya makundi mbalimbali ndani na nje ya chama. Ukimlinganisha na wanasiasa wengine tangu ccm mpaka upinzani sioni wa kumshinda. Tumuombee uzima na afya tele.
Hahaha.. mzee wa goli la mkonoKwa kua siasa ni mchezo usiotabirika, kadhalika anaeweza kuimudu ni yule mwenye uwezo mkubwa wa kusoma alama za nyakati. Alifanya kosa kidogo kwa kuchelewa kumsoma bosi wake wa awali ila amecheza karata vizuri ambapo kwa sasa ameanza kuteka mioyo ya makundi mbalimbali ndani na nje ya chama. Ukimlinganisha na wanasiasa wengine tangu ccm mpaka upinzani sioni wa kumshinda. Tumuombee uzima na afya tele.
Ahahahahahahahahahaha! Nimemkumbuka Mwanadiplomasia nguli na Kachero mbobezi Bernard Camillius Membe! Hivi, si wanatoka Jimbo moja hawa? Ahahahahahahahahahah!Kwa kuwa siasa ni mchezo usiotabirika, kadhalika anaeweza kuimudu ni yule mwenye uwezo mkubwa wa kusoma alama za nyakati. Alifanya kosa kidogo kwa kuchelewa kumsoma bosi wake wa awali ila amecheza karata vizuri ambapo kwa sasa ameanza kuteka mioyo ya makundi mbalimbali ndani na nje ya chama.
Ukimlinganisha na wanasiasa wengine tangu CCM mpaka upinzani sioni wa kumshinda.
Tumuombee uzima na afya tele.
Nimejikuta nacheka kwa sauti dah!!Kwa kuwa siasa ni mchezo usiotabirika, kadhalika anaeweza kuimudu ni yule mwenye uwezo mkubwa wa kusoma alama za nyakati. Alifanya kosa kidogo kwa kuchelewa kumsoma bosi wake wa awali ila amecheza karata vizuri ambapo kwa sasa ameanza kuteka mioyo ya makundi mbalimbali ndani na nje ya chama.
Ukimlinganisha na wanasiasa wengine tangu CCM mpaka upinzani sioni wa kumshinda.
Tumuombee uzima na afya tele.