Kwa kuwa siasa ni mchezo usiotabirika, kadhalika anaeweza kuimudu ni yule mwenye uwezo mkubwa wa kusoma alama za nyakati. Alifanya kosa kidogo kwa kuchelewa kumsoma bosi wake wa awali ila amecheza karata vizuri ambapo kwa sasa ameanza kuteka mioyo ya makundi mbalimbali ndani na nje ya chama.
Ukimlinganisha na wanasiasa wengine tangu CCM mpaka upinzani sioni wa kumshinda.
Tumuombee uzima na afya tele.
Unaota ww, Samia Tena 2025 had 2045Kwa kuwa siasa ni mchezo usiotabirika, kadhalika anaeweza kuimudu ni yule mwenye uwezo mkubwa wa kusoma alama za nyakati. Alifanya kosa kidogo kwa kuchelewa kumsoma bosi wake wa awali ila amecheza karata vizuri ambapo kwa sasa ameanza kuteka mioyo ya makundi mbalimbali ndani na nje ya chama.
Ukimlinganisha na wanasiasa wengine tangu CCM mpaka upinzani sioni wa kumshinda.
Tumuombee uzima na afya tele.
Heheh dah naona humu ndani kuna watu wa dizaini kibao. How on Earth waweza kukaa chini na kujiaminisha kabisa kwamba Nape anafaa kuwa Rais??? Kwanza 2025 unadhani kuna mtu atagombea zaidi ya mama kwa CCM??? Na huko upinzani labda ACT Maana wao ni zoazoaKwa kuwa siasa ni mchezo usiotabirika, kadhalika anaeweza kuimudu ni yule mwenye uwezo mkubwa wa kusoma alama za nyakati. Alifanya kosa kidogo kwa kuchelewa kumsoma bosi wake wa awali ila amecheza karata vizuri ambapo kwa sasa ameanza kuteka mioyo ya makundi mbalimbali ndani na nje ya chama.
Ukimlinganisha na wanasiasa wengine tangu CCM mpaka upinzani sioni wa kumshinda.
Tumuombee uzima na afya tele.
Kwenda zako nape ndio kitu gani. Mtu hawezi hata kujua alipokua waziri kwamba hana uwezo kumuundia mkuu wa mkoa kamati kumchunguza? Mtu ambaye alifikiri akiwa waziri ni sawa kumtetea wema sepeku eti baba zao walikua marafiki na mama zao wote wanatoka singida😂😂? Yaani hawezi kutofautisha ofisi ya umma na familia yake? 🤣🤣. Hebu wacheni mzaha nyie wanamtandao.Kwa kuwa siasa ni mchezo usiotabirika, kadhalika anaeweza kuimudu ni yule mwenye uwezo mkubwa wa kusoma alama za nyakati. Alifanya kosa kidogo kwa kuchelewa kumsoma bosi wake wa awali ila amecheza karata vizuri ambapo kwa sasa ameanza kuteka mioyo ya makundi mbalimbali ndani na nje ya chama.
Ukimlinganisha na wanasiasa wengine tangu CCM mpaka upinzani sioni wa kumshinda.
Tumuombee uzima na afya tele.
Unavyoona, baada ya kusema haya anaweza akakumbukwa kwa nafasi ya uwaziri tena? Huko upinzani anaweza tisha kuliko Lowasa ambaye kajirudisha mwenyewe?Kwa kuwa siasa ni mchezo usiotabirika, kadhalika anaeweza kuimudu ni yule mwenye uwezo mkubwa wa kusoma alama za nyakati. Alifanya kosa kidogo kwa kuchelewa kumsoma bosi wake wa awali ila amecheza karata vizuri ambapo kwa sasa ameanza kuteka mioyo ya makundi mbalimbali ndani na nje ya chama.
Ukimlinganisha na wanasiasa wengine tangu CCM mpaka upinzani sioni wa kumshinda.
Tumuombee uzima na afya tele.
Hakuna mwenye akili timamu anaweza kumuamini Nape.Kwa kuwa siasa ni mchezo usiotabirika, kadhalika anaeweza kuimudu ni yule mwenye uwezo mkubwa wa kusoma alama za nyakati. Alifanya kosa kidogo kwa kuchelewa kumsoma bosi wake wa awali ila amecheza karata vizuri ambapo kwa sasa ameanza kuteka mioyo ya makundi mbalimbali ndani na nje ya chama.
Ukimlinganisha na wanasiasa wengine tangu CCM mpaka upinzani sioni wa kumshinda.
Tumuombee uzima na afya tele.
Tena sana siyo kidogoWrite your reply...Isitoshe tu kusema DUNIA INA MAMBO
Hebu acheni 'Kututukana' Watanzania tafadhali sawa? Yaani Nape Nnauye huyu huyu 'Hypocrite, Selfish and Flaterer by nature' aje kuwa Head of State wa Tanzania 2025? Punguzeni Kuvuta Bangi huku mkiwa hamjala.Kwa kuwa siasa ni mchezo usiotabirika, kadhalika anaeweza kuimudu ni yule mwenye uwezo mkubwa wa kusoma alama za nyakati. Alifanya kosa kidogo kwa kuchelewa kumsoma bosi wake wa awali ila amecheza karata vizuri ambapo kwa sasa ameanza kuteka mioyo ya makundi mbalimbali ndani na nje ya chama.
Ukimlinganisha na wanasiasa wengine tangu CCM mpaka upinzani sioni wa kumshinda.
Tumuombee uzima na afya tele.
Kaa kitako ni ukiwa Zanzibar,ukiwa hukubara ni tuliza matako yako[emoji23]Kaa kitako!
Nape ana ID kadhaa humu. PHYLOSOPHER Ni mojawapo.Nape kuwa na aibu
Hata vichaa hawawezi kukuchagua