Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Kama sikosei, Dk Nchimbi na Nape haziivi tokea enzi zile walipokuwa UVCCM.
Dalili zi wazi, Dk Nchimbi anaelekea kuwa mtu mkubwa sana ndani ya Nchi hii huko mbele.
Kwa muktadha wa mahusiano yao ya huko nyuma ni wazi Nape hana chake tena.
Hongera Dk.
Dalili zi wazi, Dk Nchimbi anaelekea kuwa mtu mkubwa sana ndani ya Nchi hii huko mbele.
Kwa muktadha wa mahusiano yao ya huko nyuma ni wazi Nape hana chake tena.
Hongera Dk.