Nape ni mdau wa pilau, amefollow ukurasa wa ngono

Mheshimiwa anafungia VPN kumbe nae huwa anaangalia video za Pilau πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ credit by spana konk
View attachment 2813156
atasema alikuwa anafanya upelelezi ipi ni chafu na ipi sio chafu. Mungu atusaidie kama Taifa, porn imeharibu vijana wengi na ni mlango wa shetani kukuingia, na ni addiction kama addiction zingine tu. na huwa haichelewi kumuumbua mtu.
 
Haya maporno yanaforces au ushawishi mkubwa mno ukiaza kuangalia hata mara Moja tu unaweza jikuta umekuwa Teja.

Nakumbuka last year Kuna mbunge wa wingereza alijiuzulu Kwa kuangalia porno video bungeni tena alikuwa mtu mzima mwenye 51+
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…