saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Mwanaume kupenda umbea ni sawa na ushoga. Cha ajabu ni nini, hiyo nayo ni habari? Utafikiri ni fisi kaenda msibaniView attachment 2902459
Shughuli hii inafanyika muda huu Karimjee , Mh Nape ambaye ni Waziri wa Habari ameongoza kundi la Mawaziri kuingia eneo la tukio.
Watu ni wengi sana na bado wanaendelea kumiminika
Mwili wa Lowassa ukitoka Lugalo
View attachment 2902457
Yupo MonduliHivi mke wa Magufuli yupo kweli? Nimemuona mke wa Mkapa tu.
Kamwambie huyo aliyekuwa anamuulizia huyo bimkubwaMwanaume kuwaza kulelewa ni dalili mbaya.ni dalili za umarekani.
HiiiShughuli hii inafanyika muda huu Karimjee , Mh Nape ambaye ni Waziri wa Habari ameongoza kundi la Mawaziri kuingia eneo la tukio.
View attachment 2902567
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama namuona Nape akiwa jalalani anafakamia takataka, na upande mwingine na Kasheku Msukuma anaendesha rim ya baiskeli barabarani huku amevalia singlendi ailiyochanika ,na kwa mbaali namuona Makonda amevaa kibwaya anakata mauno mitaani na nyuma kabisa namuona Kibajaji yuko uchi wa mnyama anapiga marimba ya kigogo. Chezea laana wewe"Waliomkosea Lowassa wote kabla hajalala wakatubu, akilala yule mzee kama huwajatubu watapata laana kubwa sana...."
Huyu jamaa alisema Ikulu sio hospitali.View attachment 2902459
Shughuli hii inafanyika muda huu Karimjee , Mh Nape ambaye ni Waziri wa Habari ameongoza kundi la Mawaziri kuingia eneo la tukio.
Watu ni wengi sana na bado wanaendelea kumiminika
Mwili wa Lowassa ukitoka Lugalo
View attachment 2902457
Rais wa Mbeya na Katibu mkuu wa Chadema nao walikuwepoMwanaume kupenda umbea ni sawa na ushoga. Cha ajabu ni nini, hiyo nayo ni habari? Utafikiri ni fisi kaenda msibani
Duuuh! [emoji2][emoji2][emoji2]Kama namuona Nape akiwa jalalani anafakamia takataka, na upande mwingine na Kasheku Msukuma anaendesha rim ya baiskeli barabarani huku amevalia singlendi ailiyochanika ,na kwa mbaali namuona Makonda amevaa kibwaya anakata mauno mitaani na nyuma kabisa namuona Kibajaji yuko uchi wa mnyama anapiga marimba ya kigogo.
Laana ya Mzee Lowasa haiwezi kuwaacha salama hawa vibakaDuuuh! [emoji2][emoji2][emoji2]
Mwaka huu tutayaona na kuyasikia mengi sana! R.I.P ENL
Huyu ndio alisema ikulu sio wodi za wagonjwa πππView attachment 2902459
Shughuli hii inafanyika muda huu Karimjee , Mh Nape ambaye ni Waziri wa Habari ameongoza kundi la Mawaziri kuingia eneo la tukio.
Watu ni wengi sana na bado wanaendelea kumiminika
Mwili wa Lowassa ukitoka Lugalo
View attachment 2902457
Nakuelewa vizuri sana. Sitasahau tukio moja mwaka 2019, ambapo watu walivuna miwa na mihogo wazi wazi wakati wa mazishi ktk shamba la mfiwa. Nilisikitika sana na ilikuwa mara yangu ya kwanza kuona tukio kama hilo, lkn huku duniani kuna watu na viatu ndani ya muda mfupi miwa yote chali, alianza kichaa mmoja na wengine wakafuata baada ya hapoa mihogo ikakumbukwa yaani ni shidaMisibani wakati mwingine waombolezaji huenda na yao vichwani, hata huku mitaani tu wakija kwenye msiba wenu lazima umbea upigwe.
Kama sio watoto wa marehemu kila mmoja kwa nafasi yake kujadiliwa, basi lazima hata nyumba yenu kama haijakarabatiwa muda mrefu igeuke topic, wakati wengine wao utakuta wanaishi kwenye mbavu za mbwa.
Wengine watajidai kuwapikia wafiwa, kumbe ndio wanatafuta gap la kuiba mchele waende nao makwao, ukifiwa uswahilini jiandae kuwa na roho ngumu sana, waliokuja kukupa pole wanaweza geuka ndio wanaongeza machungu kwa wafiwa, usiwaamini.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
ππππππππππππ€£π€£π€£π€£Shughuli hii inafanyika muda huu Karimjee , Mh Nape ambaye ni Waziri wa Habari ameongoza kundi la Mawaziri kuingia eneo la tukio.
View attachment 2902567
Sent using Jamii Forums mobile app
Na tumbo lake kama mjamzito vileView attachment 2902499
Rais wa Mbeya na Katibu mkuu wa Chadema nao walikuwepo
View attachment 2902962View attachment 2902963
Sasa unalia nini ?Acha mambo ya ajabu wewe, Mbeya ni mkoa, utakuwaje na rais? You are committing a treason.
Sasa unalia nini ?
Sasa Tulia si yupo ?Eti sugu ni rais wa mbeya. Ndiyo maana mtayasikia maendeleo redion
Sasa Tulia si yupo ?