Nape Nnauye afika Karimjee kuaga Mwili wa Lowassa

Nape Nnauye afika Karimjee kuaga Mwili wa Lowassa

View attachment 2902459

Shughuli hii inafanyika muda huu Karimjee , Mh Nape ambaye ni Waziri wa Habari ameongoza kundi la Mawaziri kuingia eneo la tukio.

Watu ni wengi sana na bado wanaendelea kumiminika

Mwili wa Lowassa ukitoka Lugalo

View attachment 2902457
Mwanaume kupenda umbea ni sawa na ushoga. Cha ajabu ni nini, hiyo nayo ni habari? Utafikiri ni fisi kaenda msibani
 
"Waliomkosea Lowassa wote kabla hajalala wakatubu, akilala yule mzee kama huwajatubu watapata laana kubwa sana...."
Kama namuona Nape akiwa jalalani anafakamia takataka, na upande mwingine na Kasheku Msukuma anaendesha rim ya baiskeli barabarani huku amevalia singlendi ailiyochanika ,na kwa mbaali namuona Makonda amevaa kibwaya anakata mauno mitaani na nyuma kabisa namuona Kibajaji yuko uchi wa mnyama anapiga marimba ya kigogo. Chezea laana wewe
 
Mwanaume kupenda umbea ni sawa na ushoga. Cha ajabu ni nini, hiyo nayo ni habari? Utafikiri ni fisi kaenda msibani
Rais wa Mbeya na Katibu mkuu wa Chadema nao walikuwepo

Screenshot_2024-02-13-17-41-48-1.png
Screenshot_2024-02-13-17-41-59-1.png
 
Kama namuona Nape akiwa jalalani anafakamia takataka, na upande mwingine na Kasheku Msukuma anaendesha rim ya baiskeli barabarani huku amevalia singlendi ailiyochanika ,na kwa mbaali namuona Makonda amevaa kibwaya anakata mauno mitaani na nyuma kabisa namuona Kibajaji yuko uchi wa mnyama anapiga marimba ya kigogo.
Duuuh! [emoji2][emoji2][emoji2]
Mwaka huu tutayaona na kuyasikia mengi sana! R.I.P ENL
 
View attachment 2902459

Shughuli hii inafanyika muda huu Karimjee , Mh Nape ambaye ni Waziri wa Habari ameongoza kundi la Mawaziri kuingia eneo la tukio.

Watu ni wengi sana na bado wanaendelea kumiminika

Mwili wa Lowassa ukitoka Lugalo

View attachment 2902457
Huyu ndio alisema ikulu sio wodi za wagonjwa 😁😁😁

Ni mtu mjinga tuu ndio anaweza kuwategemea Wanasiasa
 
Misibani wakati mwingine waombolezaji huenda na yao vichwani, hata huku mitaani tu wakija kwenye msiba wenu lazima umbea upigwe.

Kama sio watoto wa marehemu kila mmoja kwa nafasi yake kujadiliwa, basi lazima hata nyumba yenu kama haijakarabatiwa muda mrefu igeuke topic, wakati wengine wao utakuta wanaishi kwenye mbavu za mbwa.

Wengine watajidai kuwapikia wafiwa, kumbe ndio wanatafuta gap la kuiba mchele waende nao makwao, ukifiwa uswahilini jiandae kuwa na roho ngumu sana, waliokuja kukupa pole wanaweza geuka ndio wanaongeza machungu kwa wafiwa, usiwaamini.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Nakuelewa vizuri sana. Sitasahau tukio moja mwaka 2019, ambapo watu walivuna miwa na mihogo wazi wazi wakati wa mazishi ktk shamba la mfiwa. Nilisikitika sana na ilikuwa mara yangu ya kwanza kuona tukio kama hilo, lkn huku duniani kuna watu na viatu ndani ya muda mfupi miwa yote chali, alianza kichaa mmoja na wengine wakafuata baada ya hapoa mihogo ikakumbukwa yaani ni shida
 
Unafiki ni dhambi mbaya sana sana ktk ulimwengu wetu!
Sijui kwanini chama kimeona ili kiweze kuwepo unafiki ndio kitu bora kabisa cha kuambatana nacho!
 
Na tumbo lake kama mjamzito vileView attachment 2902499

Nyakati zingine watu wanashindwa kutofautisha kati ya hekima na unafiki. Mara nyingi wengine wanafikiri, kuachilia na kupuuzia mambo yaliyokuumiza na kushiriana na walio kuumiza wanaweza kudhani ni unafiki na udhaifu. Unaokoa na kuponya nafsi nyingi sana. Mambo unayafanya yawe shwaari kama hakuna jambo lolote, wakati ungeonesha hisia zako halisi bila kudhibiti na kutumia akili ungepelekea madhara makubwa zaidi. Hivyo watu wakiwa wanqjaribu kuwa na mtazamo ulio tofauti nasi kuhusu kuona jambo fulani, tusikimbilie kuwahukumu kuwa pengine ni wanafiki au dhaifu, bali ni hodari na wenye hekima.
 
Sasa Tulia si yupo ?

Nyie mpaka akili ziwakae sawa. Mnakaa na watu wa Kilimanjaro, lakini mnachukua ujinga badala ya kuchukua fursa zinazojitokeza. Mtu kama Dr. Tulia kutokea huko kwenu Mbeya, itachukua muda mrefu sana.
 
Back
Top Bottom