Nape Nnauye arudi kwenye uenezi CCM, Shaka bado anaendeleza ukurung'unzu wa Hamphrey Polepole

Nape Nnauye arudi kwenye uenezi CCM, Shaka bado anaendeleza ukurung'unzu wa Hamphrey Polepole

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Shaka amemezwa au haamini kwamba yeye kazi yake ni uenezi wa chama badala yake amegeuka kuwa msemaji wa Serikali. Anatumia muda mwingi kusifia sifia tu, sifa zikizidi unakuwa utoto na ni ukurung'unzu!

Ni hatari kwa sababu Shaka unatakiwa kuionyesha Serikali matobo yanavuja, ili CCM iyafanyie kazi , kazi yako sio kusifia sifia tu!

Polepole alisahau kazi yake ya uenezi akawa debe la kumsifia mwendazake!
 
Nape kaonja utamu wa uwaziri alafu arudi tena kubugia vumbi mtaani kwenye mashina
 
Mtake radhi balozi polepole kwa kumfananisha na mpaka mkorogo wa pwani anayejichubua
Polepole na huyo mpaka mkorogo wote ni walewale wapuuzi machawa wasiojielewa, Polepole alikuwa mlamba ass ya Jiwe na huyu 'Mkongomani' ni mlamba ass ya bi urojo.
 
Back
Top Bottom