Nape yuko mafichoniLeo wote tumeshuhudia akina Mwambukusi wakioata dhamana na kwenda majumbani kinyume na Ile barua yenye grammar za kutatanisha. Sijamsikia Tena ndugu yangu nape akisema kitu
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Sio kwa WAMBURA na mzee wa GPO zee la kwenda kukojoa KINGAI.Polisi wawakazie wanasiasa,kua kazi yao haihusiani na siasa,wao kazi yao ni kulinda raia na mali zao tu.
Nape ni mjinga na ni debe tupu hamna mtu pale.Leo wote tumeshuhudia akina Mwambukusi wakioata dhamana na kwenda majumbani kinyume na Ile barua yenye grammar za kutatanisha. Sijamsikia Tena ndugu yangu nape akisema kitu
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Kapigwa kofi la kelebuLeo wote tumeshuhudia akina Mwambukusi wakioata dhamana na kwenda majumbani kinyume na Ile barua yenye grammar za kutatanisha. Sijamsikia Tena ndugu yangu nape akisema kitu
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Noma sana ! Hivi akitumwa na mtu au ni kiherehere chake tu ?Kapigwa kofi la kelebu
Hili swali labda ajibu mkewe. Hana guts za kukujibu.Nape kwani nawe unahusikaje kwenye hili sakata!