Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

Siyo siri,upinzani inabidi kujipanga sana kuiondoa Ccm madarakani. Hawa jamaa wako very well organized. Wanajua kumaliza tofauti zao wenyewe kwa wenyewe. Ingekuwa ni upinzani hapa watu wameshafukuzana siku nyingi kwenye Chama. Kitu kingine nilichojifunza kwenye hili sakata,wazee ni watu muhimu sana ndani ya chama. Busara zote hizi nina uhakika ni za wazee ndani ya Ccm.
 
Hivi hilo mike (bum) hawawezi kulificha kama lile la bongo movie??
 
Karibuni sana nyumbani kumenoga!
 
Kashashinda mbona na kuna mkakati wa kumuongeza miaka mingine 10 baada ya 2025[emoji23][emoji23]
Magufuli kujiongezea muda baada ya 2025 ni stori za vijiweni kaka. Hazina ukweli wowote,watu tulio wengi hatuifahamu Ccm vizuri. Mfano mzuri ni hili sakata la akina Nape,Kinana na wenzake,wengi wetu hatukujua lingefikia kuombana misamaha.
 
Nimeona Nape anatembea umbali mrefu sana ndani ya maeneo ya Ikulu.

Alishushiwa nje ya geti kuu la kuingia ikulu ?

Niliona mpaka anajifuta jasho kwa kutembea umbali mrefu.

Nimeona kama ametembea umbali mrefu sana.

Haaminiki ?
Your browser is not able to display this video.
 
Hii inaonesha Tanzania tuna watu wa wanamna gani! Jinsi gani watu walivyo vigeugeu wasiyo jua wanacho simamamia na hao ndiyo viongozi wetu, dah! Nawaonea huruma sana mnao panga foleni kwenda kuwachagua hao wanao itwa viongozi.
Kwenye siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu
 

Pumbavu mwingine. Nape amruka kaka yake (Membe) kipumbavu kabisa. Hovyoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…