Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Nape ni mnafki tu kama walivyo wanasiasa wa waafrika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitajie mwanasiasa asiye mnafiki!Nape ni mnafki tu kama walivyo wanasiasa wa waafrika.
Nape ni rubbish, anaomba msamaha kwa kosa gani? Rubbish monkey! Simamia unaloliamini katika siasa . Kiburi kilikuwa cha nini kumbe wewe ni takataka! Nguvu ya kuwa madarakani ndiyo ilikufanya ukasema kwa kiburi goli la mkono! Rubbish!Sisi wakristo ungamo letu linalazimisha kutaja dhambi zote unazozikumbuka na mwisho tunasema ".....kwa dhambi hizi na nyingine zote nisizozifahamu ..." Kisha Padre anakutangazia msamaha na kukutaka usitende dhambi tena.
Kwenye kutaja dhambi unaweza kulazimika kuwataja na wengine mlioshirikiana kutenda dhambi hizo na hapo ndio napata wasiwasi kwamba huenda kukawa na foleni endelevu ya watakaomba msamaha.
Chukulia mfano kama William alikuwa wa kwanza kukiri kosa na kuomba lazima atashindwa kuwataja aliokuwa anaongea nao kweli?!
Mbarikiwe sana.
Maendeleo hayana vyama!
Mbowe, amesimamia analoliamini. Lisu pamoja na kupigwa risasi na aliyempiga risasi anajulikana, bado amesimama wima!Nitajie mwanasiasa asiye mnafiki!
Umemuelewa Spika Ndugai aliposema Mbowe ni mtiifu?!Mbowe, amesimamia analoliamini. Lisu pamoja na kupigwa risasi na aliyempiga risasi anajulikana, bado amesimama wima!
makosa gani alimfanyia Magu?majuto kweli ya makosa na fedheha alizomfanyia Rais Magufuli
Ninachokiona, kasi ya bwana mkubwa nayo lazima imezimwa pakubwa sana.Mbowe, amesimamia analoliamini. Lisu pamoja na kupigwa risasi na aliyempiga risasi anajulikana, bado amesimama wima!
Ndugai naye ni mtu wa kumuweka kwenye watu mentally capable of integrating things?Umemuelewa Spika Ndugai aliposema Mbowe ni mtiifu?!
Sisi wakristo Msamaha ni sehemu ya maisha yetu!Nape ni rubbish, anaomba msamaha kwa kosa gani? Rubbish monkey! Simamia unaloliamini katika siasa . Kiburi kilikuwa cha nini kumbe wewe ni takataka! Nguvu ya kuwa madarakani ndiyo ilikufanya ukasema kwa kiburi goli la mkono! Rubbish!
sijakupata vema pleaseNinachokiona, kasi ya bwana mkubwa nayo lazima imezimwa pakubwa sana.
alimkosea nini Magu?Sisi wakristo Msamaha ni sehemu ya maisha yetu!
Hahahaa..... Yeye ameshasamehewa inatosha!Sali uote aliyoongea.
Eti Nape ndio yule alienda huko jimboni kwake wakina mama wakalitandikia Kanga barabarani na wakalala chini eti lipite mgongoni kwao eti lijamaa likawa linajiliza machozi eti huu ni upendo sijawahi kuuona hahah.Hii inaonesha Tanzania tuna watu wa wanamna gani! Jinsi gani watu walivyo vigeugeu wasiyo jua wanacho simamamia na hao ndiyo viongozi wetu, dah! Nawaonea huruma sana mnao panga foleni kwenda kuwachagua hao wanao itwa viongozi.