Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

Sisi wakristo ungamo letu linalazimisha kutaja dhambi zote unazozikumbuka na mwisho tunasema ".....kwa dhambi hizi na nyingine zote nisizozifahamu ..." Kisha Padre anakutangazia msamaha na kukutaka usitende dhambi tena.

Kwenye kutaja dhambi unaweza kulazimika kuwataja na wengine mlioshirikiana kutenda dhambi hizo na hapo ndio napata wasiwasi kwamba huenda kukawa na foleni endelevu ya watakaomba msamaha.

Chukulia mfano kama William alikuwa wa kwanza kukiri kosa na kuomba lazima atashindwa kuwataja aliokuwa anaongea nao kweli?!

Mbarikiwe sana.
Maendeleo hayana vyama!
Nape ni rubbish, anaomba msamaha kwa kosa gani? Rubbish monkey! Simamia unaloliamini katika siasa . Kiburi kilikuwa cha nini kumbe wewe ni takataka! Nguvu ya kuwa madarakani ndiyo ilikufanya ukasema kwa kiburi goli la mkono! Rubbish!
 
Mbowe, amesimamia analoliamini. Lisu pamoja na kupigwa risasi na aliyempiga risasi anajulikana, bado amesimama wima!
Ninachokiona, kasi ya bwana mkubwa nayo lazima imezimwa pakubwa sana.
 
Muungwana vitendo, samehe saba mara sabini. We have such a good president.
 
Hii inaonesha Tanzania tuna watu wa wanamna gani! Jinsi gani watu walivyo vigeugeu wasiyo jua wanacho simamamia na hao ndiyo viongozi wetu, dah! Nawaonea huruma sana mnao panga foleni kwenda kuwachagua hao wanao itwa viongozi.
Eti Nape ndio yule alienda huko jimboni kwake wakina mama wakalitandikia Kanga barabarani na wakalala chini eti lipite mgongoni kwao eti lijamaa likawa linajiliza machozi eti huu ni upendo sijawahi kuuona hahah.
 
Wapinzani mjiandae kisaikorojia na kule kusini korosho lishapatiwa uvumbuzi mh alikubari kukurupuka sasa katuachia vijana tupige pesa na wakulima wetu oya fursa hiyo ya korosho kusini sasa ndio habari ya mujini mh. Raisi hongera kwa ili la korosho nakupa tano safi sana Acha bro Nape arudi na tutarudi wengi
 
Back
Top Bottom