wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Hii style ya siasa za umafia aliufanya Mobutu lakini mwisho wake ulikuwa mbaya sana.
Alicheza na mawazo ya wapinzani wake, ukikataa pesa unakiona cha mtema kuni.
Ila wapinzani hawakumtoa madarakani,Kagame&his allies ndio walimng’oa mobutu.