wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Hii style ya siasa za umafia aliufanya Mobutu lakini mwisho wake ulikuwa mbaya sana.
Alicheza na mawazo ya wapinzani wake, ukikataa pesa unakiona cha mtema kuni.
Nimeona Nape anatembea umbali mrefu sana ndani ya maeneo ya Ikulu.
Alishushiwa nje ya geti kuu la kuingia ikulu ?
Niliona mpaka anajifuta jasho kwa kutembea umbali mrefu.
Nimeona kama ametembea umbali mrefu sana.
Haaminiki ?
View attachment 1203928
Waanzilishi wa cdm, walitokea ccm , kama ulikua hujui.
Maneno ya mfa maji hayo. Kumbuka Siasa ni maisha. Luna watu ndani ya CHADEMA ni Waheshimiwa lakini Mwenyekiti akiwataka wawe ma-House Boy kwake watatii, narudia siasa ni maisha.Asema tu kuwa wote wenye maslahi ndani ya ccm hawawezi kuendesha maisha bila ccm. Ndo maana wazee wazima wanaambiwa wanawashwawashwa wanakenua meno tu...hukuona MZEE mwinyi alivyong'aka baada ya marope kutumia picha wakiwa pamoja???
Unadhani ataongea kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nanafuatilia ID ya Nape hapa JF kuamini alichokisema jana.
Na mpaka dakika ya mwisho Mobutu alilinda majivu ya Habyerimana mpaka sielewi ni kwa nini.Ila wapinzani hawakumtoa madarakani,Kagame&his allies ndio walimngβoa mobutu.
ujasusi
Ila.maneno Yake inachoma, hahahaa.Huyu nae " hana mkia". Atulie.
Maneno ya mfa maji hayo. Kumbuka Siasa ni maisha. Luna watu ndani ya CHADEMA ni Waheshimiwa lakini Mwenyekiti akiwataka wawe ma-House Boy kwake watatii, narudia siasa ni maisha.
Nitonye inbox ID yake ni ipi?Nanafuatilia ID ya Nape hapa JF kuamini alichokisema jana.
Ndio! Tusi au kosa likowapi katika sauti zile?Mkuu utachoma mafuta kwenda kuomba msamaha kwa mtu bila kumtendea kosa?
Wamejidhihirisha wazi kuwa sauti za kashifa zilizozagaa mitandaoni ni za kwao.
πππππNitonye inbox ID yake ni ipi?
Mbona umecheka mpendwa wangu? nambie kama unaijua nami nimfuatilie.πππππ
Anawapeleka Puta Nyie wenyeweLakini unajisikiaje mshamba anavyowapeleka puta?
Hivi hapo nani ni mshamba?
Maneno ya mfa maji hayo. Kumbuka Siasa ni maisha. Luna watu ndani ya CHADEMA ni Waheshimiwa lakini Mwenyekiti akiwataka wawe ma-House Boy kwake watatii, narudia siasa ni maisha.
Waliweka video ili kuuonyesha umma kwamba Nape hana special treatment yoyote hapo ikulu ni boya tu na tumemtembeza kwa miguu.
Hilo ndani ya cdm halipo maana mwenyekiti wa cdm hana nguvu za dola.
Zitto mwenyewe anapenda amiliki House boy , wangewezaje kukaa pamoja? Au hauoni chama chake.yeye ndiye wengine ni house boysMbona Zitto alikataa kuwa house boy...we Jamaa acha hzo kuna watu na misimamo yao bwana....acha hao wachumia tumbo wakamlambe miguu Jiwe...MFA maji umesikia mm nataka cheo ccm...we vipi aisee????
SACCOS yake ileila ana nguvu ya kuwa wa kudumu?