Pre GE2025 Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani

Pre GE2025 Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii nchi yafaa sasa tuanze kuwa serious. Kila mtu ni utani utani tu. Ukiingia mitandaoni mtu akiguswa kidogo anajibu sio kila kitu ni cha kuchukulia serious, no one can judge me, kila mtu afuatilie maisha yake (sasa ukiweka kitu mtandaoni si umeturuhusu tukione?) nk.

Wanasiasa na viongozi nao hivyo hivyo (ingawa huu aliosema Nape ni ukweli). Angalia bunge lilivyo na upuuzi, utani wa Simba na Yanga wakati kuna mambo ya muhimu ya kujadili na kufanya.
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema video inayosambaa ikimuonyesha akisema kuna mbinu nyingi za CCM kushinda uchaguzi ikiwamo zisizo halali imepotoshwa na hakuwa na maana iliyotafsiriwa na watu wengi.

Kauli ya Nape kuhusu bao la mkono soma: Nape: CCM itashinda tu uchaguzi mkuu ujao hata kwa goli la mkono

“Nimeona mjadala wa video hii. inapotoshwa kwa kukata vipande watakavyo wapotoshaji. Msingi wa mjadala huu ulikuwa utani wa hoja ya zamani ya “goli la mkono”.. uliorushwa wakati naongea ndio maana kuna kicheko kabla. Haikuwa serious version. Mimi muumini wa uchaguzi huru na haki. Vizuri tuendelee kushindana kwa hoja,”ameandika katika ukurasa wake wa mtandao wa X leo Jumanne Julai 16, 2024.

View attachment 3044076

Pia soma: Kuelekea 2025 - Nape: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Nape ameibuka kuelezea hoja hiyo ikiwa ni saa chache tangu Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla leo, aseme kauli hiyo haitokani na msimamo wa chama hicho.

“Kuna kiongozi nimemsikia huko mitandaoni anasema eti ushindi wa uchaguzi hautokani na kura za kwenye boksi, mimi nataka nimwambia hiyo kauli isitazamwe kuwa inatokana na CCM,” amesema.

Pia soma: CCM wapinga kauli ya Nape Nnauye kuhusu imani yake kwenye ushindi wa chaguzi nchini, wasema CCM haihitaji mbeleko

Nape alitoa kauli hiyo jana Julai 15, 2024 usiku alipotembelea soko la Kashai mkoani Kagera na kuzungumza na wananchi na kauli hiyo ililenga kumhakikishia ushindi wa Mbunge wa Bukoba Mjini, Stephen Byabato katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.
Kauli hii ni kauli ya kweli, hiki ndicho kitu kinachotokea kwenye chaguzi zetu!. Nape ni mkweli daima.
P
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema video inayosambaa ikimuonyesha akisema kuna mbinu nyingi za CCM kushinda uchaguzi ikiwamo zisizo halali imepotoshwa na hakuwa na maana iliyotafsiriwa na watu wengi.

Kauli ya Nape kuhusu bao la mkono soma: Nape: CCM itashinda tu uchaguzi mkuu ujao hata kwa goli la mkono

“Nimeona mjadala wa video hii. inapotoshwa kwa kukata vipande watakavyo wapotoshaji. Msingi wa mjadala huu ulikuwa utani wa hoja ya zamani ya “goli la mkono”.. uliorushwa wakati naongea ndio maana kuna kicheko kabla. Haikuwa serious version. Mimi muumini wa uchaguzi huru na haki. Vizuri tuendelee kushindana kwa hoja,”ameandika katika ukurasa wake wa mtandao wa X leo Jumanne Julai 16, 2024.

View attachment 3044076

Pia soma: Kuelekea 2025 - Nape: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Nape ameibuka kuelezea hoja hiyo ikiwa ni saa chache tangu Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla leo, aseme kauli hiyo haitokani na msimamo wa chama hicho.

“Kuna kiongozi nimemsikia huko mitandaoni anasema eti ushindi wa uchaguzi hautokani na kura za kwenye boksi, mimi nataka nimwambia hiyo kauli isitazamwe kuwa inatokana na CCM,” amesema.

Pia soma: CCM wapinga kauli ya Nape Nnauye kuhusu imani yake kwenye ushindi wa chaguzi nchini, wasema CCM haihitaji mbeleko

Nape alitoa kauli hiyo jana Julai 15, 2024 usiku alipotembelea soko la Kashai mkoani Kagera na kuzungumza na wananchi na kauli hiyo ililenga kumhakikishia ushindi wa Mbunge wa Bukoba Mjini, Stephen Byabato katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.
Anafanya utani kwenye uongozi?

Kakubali kwamba anafanya utani kwenye suala linaloweza kuhatarisha usalama wa taifa?

Jambo hili linaweza kusababisha machafuko ya kisiasa na uvunjwaji wa amani, anafanya utani?
 
kule kanisani kwetu, kuna siku mchungaji alifundisha kuwa kuna njia nyingi za kupata taarifa. na kwamba hata iweje siku Mungu akiamua kukupa ufunuo wa yale tusiyoyajua; hata mawe yaweza kuongea ukweli.
 
Kauli hii ni kauli ya kweli, hiki ndicho kitu kinachotokea kwenye chaguzi zetu!. Nape ni mkweli daima.
P
Mbona unaposhina naye!
=> Yeye Nape amesema alikuwa Anatania (inamaana si ukweli)
=> Wewe unasema Nape ni msema ukweli daima.
Tumuamini nani ?


Nakumbuka kauli ya Benjamin Mkapa, kwamba "wanao amini Kiongozi anapatikana Kwa kupigiwa kura ni Malofa"
 
Alichosema ndio ambacho CCM huwa wanskifanya miaka yote

Tuelewe tu, Mungu ana makusudi na kila jambo.
hii aliandika 2020 akijadilia na juliana mbowe
20240717_175736.jpg
 
Back
Top Bottom