Tetesi: Nape Nnauye kuhamia CHADEMA?

Tetesi: Nape Nnauye kuhamia CHADEMA?

Nape sio mjinga,atabaki na ubunge wake kupitia CCM
 
Waliondoka kwa mbwembwe,wamerudi wakilia na kusema tusamehewe ,tulikosa.Na wengine wamebaki kuwa wachezaji wa ligi za michangani na makomredi sasa wamekuwa chipukizi hatuwasikii tena wakilazimisha kuwa asipochaguliwa mtu wao ndio mwisho wa CCM,CCM ipo na itakuwepo kwani sio SACCOS ya bwana yule
 
Pango lishapatikana. Acha wakapumuzikie huko. Walizoea vya kunyonga vya kuchinja hawataviweza. Mahufuli piga kazi baba. Hawa wanaona vumbi tu.
 
Vijana wa Lumumba utawajua tu..tembea yao, ongea yao, hata andika yao..
Nyie propaganda mitandaoni kubalini tu hamuwezi...jihimarisheni zaidi katika kuteka watu na kuwalawitiiiii....
 
Sioni jipya hapa, hii ni siasa na siyo sayansi ya siasa!!!
 
Ukisha usoma mchezo kaa golini kwako. Chadema si rubbish bin
 
Bashite kutoka mgambo wa kuvamia vituo vya tv hadi uandishi wa makala za abubuasi! Tehtehteh. Zamu yako inakuja tu nchi hii
 
Nape ana uhuru wa kuhamia chadema, wala hakuna shida ndo siasa, tujaribu kujifunza kwa waliofanikiwa, si hatari hata rais kuhama chama, ndo kutengeneza siasa iliyo balance, vijana wajifunze uthubutu.
 
Back
Top Bottom