Tetesi: Nape Nnauye kuhamia CHADEMA?

Tetesi: Nape Nnauye kuhamia CHADEMA?

CHADEMA kawaida yao ni kuchukua "ma-reject". Mimi sioni ajabu, aende tu maana hatakuwa wa kwanza wa mwisho kuhama.
 
NAPE KUHAMIA CHADEMA?

TAARIFA za uhakika zinasema kuna mazungumzo ya mara kwa mara kati ya mbunge wa Mtama Nape Nnauye na baadhi ya viongozi wa Chadema wakimshawishi kuhamia chama hicho.

Mmoja wa viongozi hao ni Edward Lowassa jambo ambalo tayari mwenyewe amethibitisha kupitia mkutano wake aliofanya hivi karibuni huko Mtama.

Kwenye mkutano huo Nape alisema wanakutana na Lowassa mara kwa mara na wanazungumza na kunywa chai pamoja ingawa hakuweka wazi wanazungumzia kitu gani.

Itakumbukwa kwamba, Nape na Lowassa wamekuwa kwenye mgogoro kwa miaka mingi na mbunge huyo aliwahi kumtuhumu Lowassa kuingia mkataba tata na mfanyabiashara mmoja mwenye asili ya kiasia kwenye ujenzi wa jengo la Umoja wa vijana lililopo Upanga jijini Dar es Salaam.

Nape pia amewahi kumshambulia Lowassa kwa tuhuma mbalimbali za ufisadi na hata afya yake kwenye uchaguzi mkuu uliopita, lakini baada ya mazungumzo yao Nape kawekewa sharti la kuhamia Chadema.

“Moja ya masharti aliyopewa na Lowassa ni kuhamia Chadema, ingawa kuna watu wamemshauri abaki CCM kwasababu kuhamia Chadema ni mpango wa kummaliza uliopangwa na Lowassa ili kulipiza kisasi cha mambo aliyomfanyia, anajua akihama CCM na kwenda Chadema atakuwa kajimaliza kisiasa” alisema mbunge mmoja kijana wa Chadema kutoka nyanda za juu kusini.

Mbunge mmoja wa Chadema (jina tunahifadhi) amenukuliwa akimponda Nape na kusema Chadema wanakaribisha tatizo, huku akielezea jinsi alivyomtumia kutoa siri za chama na kuchapwa kwenye gazeti moja la kia wiki lenye nasaba na Chadema.

“Nape namjua mimi, haya mambo ya kumleta chamani yataleta matatizo, siri zote zitatoka nje, hana tofauti na Zitto. Nape kaleta siri nyingi za chama chake na tumechapa kwenye gazeti letu, tena alikuwa anakuja mwenyewe Kinondoni kuleta stori na tulikuwa tunampa kompyuta wakati mwingine anapacha stori, haaminiki” alinukuliwa mbunge huyo ambaye pia ni mwandishi wa habari.

Hata hivyo, licha ya wanachama wa chama hicho kumpinga Nape kuhamia Chadema, Mwenyekiti wao Freeman Mbowe anaendelea na msimamo wa kumtaka ahame CCM kwa lengo la kutaka kuongeza mtaji wa kisiasa huku akiamini hatua hiyo itaivuruga CCM.

Tayari Mbowe ameagiza kwa wahariri wa gazeti lake la Tanzania Daima kuhakikisha habari za Nape zinapewa upendeleo kwenye gazeti lake ambalo tayari maelekezo hayo yameanza kwa gazeti la 11, April kwenye ukurasa wa mbele.

Kikwazo kingine anachokabiliwa nacho Nape na kukwamisha safari yake ya kutaka kuhamia Chadema ambayo mwenyewe anaonekana yupo tayari, ni msimamo wake aliowahi kuweka wa kusitisha matangazo ya moja kwa moja ya bunge wakati akiwa Waziri wa habari huku miongoni mwa wanaoiunga mkono Chadema wanaendelea kumpinga na kumuita ‘adui wa uhuru wa habari.’

Baadhi ya wabunge wanahoji, kama waliwahi kumshambulia Nape na kumuita aduia wa uhuru wa habari, wakamtolea maneno machafu na hata kufikia hatua ya kuponda uteuzi wake na kudai amepewa nafasi hiyo kwa kulipa fadhila kutokana na kushiriki kampeni, inakuaje leo anaonekana ni mtu muhimu kwa Chadema?

Wanahoji, waliwahi kumuita Nape vuvuzela, inakuaje Chadema inapokea vuvuzela kwa maana ya mpiga kelele ambaye hana tija kwa chama?

Mbali na hilo, wanaharakati mbalimbali wakiwemo wale wanaokiunga mkono chama hicho, wanajipanga kutoa tamko kulaani kitendo cha Nape kutembelea kwenye miili ya akinamama akiwa Mtama.

Kitendo hicho ambacho licha ya kutetewa na baadhi ya watu wanaomuunga mkono, kimepingwa na watu mbalimbali akiwemo Issa Shivji ambaye amesema ni kitendo kibaya na hakipaswi kuungwa mkono.

Shivji alisema, Nape alipaswa kuwashukuru akinamama hao kwa heshima waliyompa na kuishi hapo badala ya kutembea juu ya miili ya akinamama hao.

“Angekataa. “Nawashukuru sana mama zangu. Nilijitolea kuwahudumia kuwa chini yenu kama mtoto wenu, sio kuwakanyaga” aliandika Shivji kwenye ukurasa wake wa Twitter.
Aondokeeeeee .aliondoka Lowasa sembuse huyo dogo CCM cyo ya kutishwa na kuonyeshwa njia .
 
Watatoana ngeu walahi! Nape mkorofi sana!
 
CHAMA HAKIPASWI KUMKATAA MTU YEYOTE KUJIUNGA NACHO IKIWA ATAFUATA UTARATIBU WA CHAMA.
LAKINI KUMPOKEA MTU AMBAYE ALIKUWA ANAKISHUTUMU CHAMA HICHO NA VIONGOZI WAKE NA KUMPA KIPAUMBELE KAMA NI MTU ATAKAYEWAVURUGA KULE ALIKOTOKA, NI UFINYU WA KUFIKIRI.
 
Alafu pia kiukwel huyu kijana anapita wakati mgumu sana kimawazo. Anapaswa kuwa mpole asije kurupuka nakupoteza kabisa. Kiuhalisia hata akitoka ndani ya chama bado ccm watashinda maana yeye mwenyewe ajuwa siri ya chungu. Mbaya zaidi atafupisha uhai wake maana anakiapo chakuto kutowa siri japo yupo pia kwenye list yakushughulikiwa.
 
Nape akijigamba yeye ni mchezaji mzuri kwenye siasa. Ukweli, Nape hajui siasa kama anavyoamini. Hajui tabia za Watanzania?

2020 ndio atawajua Watanzania kupitia wana Mtama!
 
haya ni mawazo yako mwenyewe au ni mfanyakazi wa kazi maalum, hutumii weledi kwa kazi hiyo, hovyo kabisa.
 
NAPE KUHAMIA CHADEMA?

TAARIFA za uhakika zinasema kuna mazungumzo ya mara kwa mara kati ya mbunge wa Mtama Nape Nnauye na baadhi ya viongozi wa Chadema wakimshawishi kuhamia chama hicho.

Mmoja wa viongozi hao ni Edward Lowassa jambo ambalo tayari mwenyewe amethibitisha kupitia mkutano wake aliofanya hivi karibuni huko Mtama.

Kwenye mkutano huo Nape alisema wanakutana na Lowassa mara kwa mara na wanazungumza na kunywa chai pamoja ingawa hakuweka wazi wanazungumzia kitu gani.

Itakumbukwa kwamba, Nape na Lowassa wamekuwa kwenye mgogoro kwa miaka mingi na mbunge huyo aliwahi kumtuhumu Lowassa kuingia mkataba tata na mfanyabiashara mmoja mwenye asili ya kiasia kwenye ujenzi wa jengo la Umoja wa vijana lililopo Upanga jijini Dar es Salaam.

Nape pia amewahi kumshambulia Lowassa kwa tuhuma mbalimbali za ufisadi na hata afya yake kwenye uchaguzi mkuu uliopita, lakini baada ya mazungumzo yao Nape kawekewa sharti la kuhamia Chadema.

“Moja ya masharti aliyopewa na Lowassa ni kuhamia Chadema, ingawa kuna watu wamemshauri abaki CCM kwasababu kuhamia Chadema ni mpango wa kummaliza uliopangwa na Lowassa ili kulipiza kisasi cha mambo aliyomfanyia, anajua akihama CCM na kwenda Chadema atakuwa kajimaliza kisiasa” alisema mbunge mmoja kijana wa Chadema kutoka nyanda za juu kusini.

Mbunge mmoja wa Chadema (jina tunahifadhi) amenukuliwa akimponda Nape na kusema Chadema wanakaribisha tatizo, huku akielezea jinsi alivyomtumia kutoa siri za chama na kuchapwa kwenye gazeti moja la kia wiki lenye nasaba na Chadema.

“Nape namjua mimi, haya mambo ya kumleta chamani yataleta matatizo, siri zote zitatoka nje, hana tofauti na Zitto. Nape kaleta siri nyingi za chama chake na tumechapa kwenye gazeti letu, tena alikuwa anakuja mwenyewe Kinondoni kuleta stori na tulikuwa tunampa kompyuta wakati mwingine anapacha stori, haaminiki” alinukuliwa mbunge huyo ambaye pia ni mwandishi wa habari.

Hata hivyo, licha ya wanachama wa chama hicho kumpinga Nape kuhamia Chadema, Mwenyekiti wao Freeman Mbowe anaendelea na msimamo wa kumtaka ahame CCM kwa lengo la kutaka kuongeza mtaji wa kisiasa huku akiamini hatua hiyo itaivuruga CCM.

Tayari Mbowe ameagiza kwa wahariri wa gazeti lake la Tanzania Daima kuhakikisha habari za Nape zinapewa upendeleo kwenye gazeti lake ambalo tayari maelekezo hayo yameanza kwa gazeti la 11, April kwenye ukurasa wa mbele.

Kikwazo kingine anachokabiliwa nacho Nape na kukwamisha safari yake ya kutaka kuhamia Chadema ambayo mwenyewe anaonekana yupo tayari, ni msimamo wake aliowahi kuweka wa kusitisha matangazo ya moja kwa moja ya bunge wakati akiwa Waziri wa habari huku miongoni mwa wanaoiunga mkono Chadema wanaendelea kumpinga na kumuita ‘adui wa uhuru wa habari.’

Baadhi ya wabunge wanahoji, kama waliwahi kumshambulia Nape na kumuita aduia wa uhuru wa habari, wakamtolea maneno machafu na hata kufikia hatua ya kuponda uteuzi wake na kudai amepewa nafasi hiyo kwa kulipa fadhila kutokana na kushiriki kampeni, inakuaje leo anaonekana ni mtu muhimu kwa Chadema?

Wanahoji, waliwahi kumuita Nape vuvuzela, inakuaje Chadema inapokea vuvuzela kwa maana ya mpiga kelele ambaye hana tija kwa chama?

Mbali na hilo, wanaharakati mbalimbali wakiwemo wale wanaokiunga mkono chama hicho, wanajipanga kutoa tamko kulaani kitendo cha Nape kutembelea kwenye miili ya akinamama akiwa Mtama.

Kitendo hicho ambacho licha ya kutetewa na baadhi ya watu wanaomuunga mkono, kimepingwa na watu mbalimbali akiwemo Issa Shivji ambaye amesema ni kitendo kibaya na hakipaswi kuungwa mkono.

Shivji alisema, Nape alipaswa kuwashukuru akinamama hao kwa heshima waliyompa na kuishi hapo badala ya kutembea juu ya miili ya akinamama hao.

“Angekataa. “Nawashukuru sana mama zangu. Nilijitolea kuwahudumia kuwa chini yenu kama mtoto wenu, sio kuwakanyaga” aliandika Shivji kwenye ukurasa wake wa Twitter.
Kichwa cha habari tetesi, habari taarifa ya uhakika. Lipi ni lipi?
 
Hii post ni ya kimajungu na fitina na imekusudia wazi kumchoma nape. Ni kama Bashite yupo uwanjani anaicheza ngoma ya kumfitinisha na Nape na viongozi wake.

Lakini Mungu yupo na anaowaona na hakuna baya lisilo na mwisho.
 
Duh, umeandika mambo mengi ya polojo polojo tu. Utafikili kuna mtu kakutuma ufanye hivyo kwa kulipwa. Pole sana.
 
CCM wote ni waovu!. Hakuna mwenye uchungu na nchi. Hakuna awazaye maendeleo. Hakuna anayejali taifa. Wote wamejaa ubinafsi, ulaghai, uhuni na ubabe. Naungana na wewe. Nape huyu huyu ndiye aliyesema ccm itatawala hata bila ridhaa ya wanachi. Na haya ndiyo matoekeo yake yanaonekana dhahiri.

Ccm haiwezi kujenga taifa, haiwezi kusaidia mwananchi, na haiwezi kuaminika na haina uwezo wa kujeng anchi kwa hali yoyote. Imejaa rushwa, ubabe, utekaji, ubaguzi, chuki, mauji ya watu, wizi na hujuma kwa taifa. Hakuna tumaini lolote kwa ccm.

Wale walioko ccm, ni Watanzania. Wanapofumbuka macho, wakaona uovu wao, wakaamua kubadilika na kutafuta haki na kweli ya taifa, ni vizuri wakafanya hivo ili taifa libadilike. Hawawezi kubadilika na kuwa Watanzania wema bado wakabaki ccm kwa kuw ahakuna jema linaweza kutoka ccm. Kwa kuw ania yao ni mabadiliko, waondoke ccm, waungane na wenzao wa UKAWA, ili walikomboe taifa.

Wewe usilazimishe wtu kuishi maisha maovu hata pale wanapotaka kubadilika eti kwa sababu walishawahi kufanya uovu. Usilete fitina za kusema NAPE ataendlea kuw mwovu hata akiondoka ccm. Huko anakokwenda kuna sera zingie na mazingira mapay ambayo hayampi nafasi ya kufikiria uharamia tena. Atatengenezea na kuwa raia mwema mwenye mtazamo sahih ikwa binadamu na dhidi ya uharifu wa kiccm.

Mwache aende akapignie ukombozi wa kwlei. Wewe wasiwasi wako nini akiondoka kule ikiwa hata niyini mnasema ni mwovu?

HAKUNA MTU MWENYE UBINADMAU ATABAKI CCM. HAKUNA MTU ATKAYEJITAMBUA NA KUJUTIA UHAYA.MOJA WA CCM ATAENDELEA KBAKI KWENYE LILE NGENGE. GENGE LINALONUKA DAMU ZA WATANZANIA. Na wewe hama uende kwa watanzania wenye nia njema, upinzania.

Nanialiyehamia CHaDEMA, alikufa kisiasa? Toa mifano sahihi zaidi ya wale wanaohamia ccm wanavyopukutishwa kama chawa? Yuko wapi Kabourou? Yko wapi Lamwali, , yuoko wapi mahanga? wako wapi??? Fungua mach oupate kuona.

NAPE KUHAMIA CHADEMA?

TAARIFA za uhakika zinasema kuna mazungumzo ya mara kwa mara kati ya mbunge wa Mtama Nape Nnauye na baadhi ya viongozi wa Chadema wakimshawishi kuhamia chama hicho.

Mmoja wa viongozi hao ni Edward Lowassa jambo ambalo tayari mwenyewe amethibitisha kupitia mkutano wake aliofanya hivi karibuni huko Mtama.

Kwenye mkutano huo Nape alisema wanakutana na Lowassa mara kwa mara na wanazungumza na kunywa chai pamoja ingawa hakuweka wazi wanazungumzia kitu gani.

Itakumbukwa kwamba, Nape na Lowassa wamekuwa kwenye mgogoro kwa miaka mingi na mbunge huyo aliwahi kumtuhumu Lowassa kuingia mkataba tata na mfanyabiashara mmoja mwenye asili ya kiasia kwenye ujenzi wa jengo la Umoja wa vijana lililopo Upanga jijini Dar es Salaam.

Nape pia amewahi kumshambulia Lowassa kwa tuhuma mbalimbali za ufisadi na hata afya yake kwenye uchaguzi mkuu uliopita, lakini baada ya mazungumzo yao Nape kawekewa sharti la kuhamia Chadema.

“Moja ya masharti aliyopewa na Lowassa ni kuhamia Chadema, ingawa kuna watu wamemshauri abaki CCM kwasababu kuhamia Chadema ni mpango wa kummaliza uliopangwa na Lowassa ili kulipiza kisasi cha mambo aliyomfanyia, anajua akihama CCM na kwenda Chadema atakuwa kajimaliza kisiasa” alisema mbunge mmoja kijana wa Chadema kutoka nyanda za juu kusini.

Mbunge mmoja wa Chadema (jina tunahifadhi) amenukuliwa akimponda Nape na kusema Chadema wanakaribisha tatizo, huku akielezea jinsi alivyomtumia kutoa siri za chama na kuchapwa kwenye gazeti moja la kia wiki lenye nasaba na Chadema.

“Nape namjua mimi, haya mambo ya kumleta chamani yataleta matatizo, siri zote zitatoka nje, hana tofauti na Zitto. Nape kaleta siri nyingi za chama chake na tumechapa kwenye gazeti letu, tena alikuwa anakuja mwenyewe Kinondoni kuleta stori na tulikuwa tunampa kompyuta wakati mwingine anapacha stori, haaminiki” alinukuliwa mbunge huyo ambaye pia ni mwandishi wa habari.

Hata hivyo, licha ya wanachama wa chama hicho kumpinga Nape kuhamia Chadema, Mwenyekiti wao Freeman Mbowe anaendelea na msimamo wa kumtaka ahame CCM kwa lengo la kutaka kuongeza mtaji wa kisiasa huku akiamini hatua hiyo itaivuruga CCM.

Tayari Mbowe ameagiza kwa wahariri wa gazeti lake la Tanzania Daima kuhakikisha habari za Nape zinapewa upendeleo kwenye gazeti lake ambalo tayari maelekezo hayo yameanza kwa gazeti la 11, April kwenye ukurasa wa mbele.

Kikwazo kingine anachokabiliwa nacho Nape na kukwamisha safari yake ya kutaka kuhamia Chadema ambayo mwenyewe anaonekana yupo tayari, ni msimamo wake aliowahi kuweka wa kusitisha matangazo ya moja kwa moja ya bunge wakati akiwa Waziri wa habari huku miongoni mwa wanaoiunga mkono Chadema wanaendelea kumpinga na kumuita ‘adui wa uhuru wa habari.’

Baadhi ya wabunge wanahoji, kama waliwahi kumshambulia Nape na kumuita aduia wa uhuru wa habari, wakamtolea maneno machafu na hata kufikia hatua ya kuponda uteuzi wake na kudai amepewa nafasi hiyo kwa kulipa fadhila kutokana na kushiriki kampeni, inakuaje leo anaonekana ni mtu muhimu kwa Chadema?

Wanahoji, waliwahi kumuita Nape vuvuzela, inakuaje Chadema inapokea vuvuzela kwa maana ya mpiga kelele ambaye hana tija kwa chama?

Mbali na hilo, wanaharakati mbalimbali wakiwemo wale wanaokiunga mkono chama hicho, wanajipanga kutoa tamko kulaani kitendo cha Nape kutembelea kwenye miili ya akinamama akiwa Mtama.

Kitendo hicho ambacho licha ya kutetewa na baadhi ya watu wanaomuunga mkono, kimepingwa na watu mbalimbali akiwemo Issa Shivji ambaye amesema ni kitendo kibaya na hakipaswi kuungwa mkono.

Shivji alisema, Nape alipaswa kuwashukuru akinamama hao kwa heshima waliyompa na kuishi hapo badala ya kutembea juu ya miili ya akinamama hao.

“Angekataa. “Nawashukuru sana mama zangu. Nilijitolea kuwahudumia kuwa chini yenu kama mtoto wenu, sio kuwakanyaga” aliandika Shivji kwenye ukurasa wake wa Twitter.
 
Back
Top Bottom