Huo ndio ukweli hata kama ni mchungu,sasa kama keshagudua kuwa wanaomshambulia yeye kwa kumpa bendera DIAMOND kina timu kiba kwanini asiseme ........ Kwani serikali inakatazwa kusema kwamba wanaoponda kitu fulani ni kikundi fulani ........ Mbona serikali ilisema kuwa waliovunja viti vya uwanja wa taifa ni simba,mbona hakuna aliyesema serikali kwa sasa na wenyewe ni Yanga ........Na hata humu wanaomshambulia waziri kwa kauli yake ni timu kiba tunawajua,kisha mnakataa sio ndio mnaopinga bendera kupewa DIAMOND.Mbona Serikali huwa inasema kuwa waliofanya tukio fulani ni WAISLAMU,mbona hakuna anayesemaga kama serikali imekuwa ya kikristo .........Ila kwenye hili serikali imewakabili moja kwa moja watu fulani ndio wahusika wa hili tukio,imekuwa kosa......??