Nape Nnauye: Nahisi Mashabiki wa Kiba ndio waliokuwa wakipinga Diamond kupewa Bendera ya Tanzania

Kiba hana office unataka amutembelee pale michikichini
 
Mimi ni shabiki wa Diamond, ila hii sio kauli inayopaswa kutolewa na Waziri
 
Kiba hana office unataka amutembelee pale michikichini
Haahaahah! Acha hizo ndugu yangu, hata ndege ana kiota. Afuatwe popote alipo. Lakini hoja muhimu ni kwamba Diamond sio mtanzania pekee mwenye mafanikio makubwa ya muziki.

Awe anaenda hata kwa Asha Baraka pale, aende DDC Mlimani Park, kisha kwa baba la muziki na mwisho awambie UVCCM wafufue bendi ya wana Air Pambamoto aka Vijana jazz. Asimwagilie mti ambao matunda yameshaiva tayari-hiyo ni janja ya kula matunda kinyemela.
 
Inaonekana unapenda sana timu. Wewe upo timu gani?😀
 
Kulikuwa na sababu gani waziri kulisemea jambo dogo kama hilo??

Mambo mengine ni yakupuuza tu ili kutochochea utengano usio na sababu za msingi!

Ni vigumu sana kuamini kama hawa watu walipata kufanya kazi na mzee wa msoga!
 
Na ndio haohao mashabiki wa Ali Kiba wanaodai Tanzania kuna njaa wakati kila siku wanakula chips mayai. Wabishi sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji12]
 
Kwani kwa mfano hapo utahoji kipi kimfanye yeye kuukana uwaziri wake ......... Kwamba ni kosa KUSEMA KUWA TIMU KIBA NDIO WALIOPINGA DIAMOND KUKABIDHIWA BENDERA YA TAIFA ??
Umesimamia show nzima mpaka vidole vimekuvba nahisi
 
Wazir nape Mbona hyo kauli yako km ya kishabiki ukiwa km kiongozi kauli hukupaswa kuitoa sababu inaashiria km ww ni shabik wa upande fulani
 
Hadi ridhwan kikwete team kiba bas
 
Aliyeanza kuongea kuhusu bendera si mtoto wa mkubwa aliyepita? Au ndo yeye timu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…