Sidha kama umetumia lugha nzuri. Just because nchi nyingine wanazo haimaanish tukifanya sisi ni dhambi.Wenzetu kwenye milima mirefu duniani walishaweka hiyo kitu miaka mingi nyuma,yeye anatoka povu leo!!
Yaani Tz kuna vitu tunajisifia wenzetu wanatuona makima.
Hakuna neno dhambi kwenye komenti yangu.Sidha kama umetumia lugha nzuri. Just because nchi nyingine wanazo haimaanish tukifanya sisi ni dhambi.
Acha wivu huyo ni waziri anahudumia nchi nzimaJimboni kwake kuna shule mbovu sana toka mkoloni kuna mwanajf aliwahi irusha, yeye anahangaika na internet Mlimani!
Namaanisha tumechelewa sana kama taifa kufanya kitu kidogo kama hicho kwenye hifadhi ghali na yenye kuingiza mapato zaidi ya hifadhi zote chini ya TANAPA.Unamaanisha kwa vile kuna watu walianzisha forum miaka ya tisin na zinabamba mpaka leo na zina memba mamilion kwa hiyo melo hapasw kujipongeza kwa jf aliyoianzisha miaka ya buku be.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio wivu huo ndio ukweli,jimboni kwake inawasaidia nini hiyo internet,wivu hapo unatoka wapi?Kama ni wewe karekebishe hiyo shule utampendeza Mungu na wanadamu wenzio.Acha wivu huyo ni waziri anahudumia nchi nzima
Safi Sana mama anaupiga mwingi 👇Waziri wa Habari, Mawasiliano na teknolojia ya habari Nape Nnauye leo anatarajiwa kuzindua huduma za mawasiliano ya Internet zitakazokuwa zikipatikana kwenye Mlima Kilimanjaro.
Kwenye ukurasa wake wa Twitter Waziri Nape ameandika yafuatayo ———> “Leo juu ya Mlima Kilimanjaro napandisha mawasiliano ya Internet yenye kasi (broadband) kwenye paa la Afrika”
“Watalii sasa wanaweza kuwasiliana duniani kote toka kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, tunakwenda uhuru peak, #royaltourcompliment #royaltour @ SuluhuSamia” ——— amemalizia Nape Nnauye