Nape Nnauye: Napandisha intaneti kilele cha Mlima Kilimanjaro

Nape Nnauye: Napandisha intaneti kilele cha Mlima Kilimanjaro

Eti napandisha intaneti ni pesa zake zinafanya hiyo kazi? Shenziiiiiiiiiiii kabisa
 
Unamaanisha kwa vile kuna watu walianzisha forum miaka ya tisin na zinabamba mpaka leo na zina memba mamilion kwa hiyo melo hapasw kujipongeza kwa jf aliyoianzisha miaka ya buku be.

Sent using Jamii Forums mobile app
Namaanisha tumechelewa sana kama taifa kufanya kitu kidogo kama hicho kwenye hifadhi ghali na yenye kuingiza mapato zaidi ya hifadhi zote chini ya TANAPA.
Kujipongeza au kutojipongeza ni issue na nafsi ya mtu.
 
Atarusha tena chopa lingine la kijeshi maana kwa hilo likitambi lake Kufika kilele cha mlima Kilimanjaro sio leo
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na teknolojia ya habari Nape Nnauye leo anatarajiwa kuzindua huduma za mawasiliano ya Internet zitakazokuwa zikipatikana kwenye Mlima Kilimanjaro.

Kwenye ukurasa wake wa Twitter Waziri Nape ameandika yafuatayo ———> “Leo juu ya Mlima Kilimanjaro napandisha mawasiliano ya Internet yenye kasi (broadband) kwenye paa la Afrika”

“Watalii sasa wanaweza kuwasiliana duniani kote toka kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, tunakwenda uhuru peak, #royaltourcompliment #royaltour @ SuluhuSamia” ——— amemalizia Nape Nnauye

Safi Sana mama anaupiga mwingi 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220816-202820.png
    Screenshot_20220816-202820.png
    124.7 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220816-202049.png
    Screenshot_20220816-202049.png
    117 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220816-202031.png
    Screenshot_20220816-202031.png
    211.4 KB · Views: 6
Back
Top Bottom