Nape Nnauye ndiye mwana-CCM pekee aliyepigania demokrasia wakati wa giza nene la awamu ya tano

Nape Nnauye ndiye mwana-CCM pekee aliyepigania demokrasia wakati wa giza nene la awamu ya tano

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Ni kweli Nape amewahi kutoa kauli tata ktk uchaguzi wa 2015 iliyoashiria kuwa Nape si muumini wa demokrasia. Kauli ya "goli la mkono".

Pia alikuwa waziri wa habari wakati Muswada kandamizi wa kubinya Uhuru wa vyombo vya habari unapelekwa bungeni. (Lakini hapa siyo kosa lake, alitumwa na bosi wake)

Pamoja na yote hayo. Nape alijitahidi sana kupambana na ukandamizaji wa Magufuli wa haki za kisiasa na kiraia. Lkn watanzania tulimuqngusha, hatukumpa support.

Soma hapa chini maoni ya wadau wengine mitandaoni.

Screenshot_20210424-155249_1.jpg
 
Hahahha.. Kusema ukweli ccm itaendelea sana kutawala miaka na miaka mpaka pale kizazi hiki kitakapotoweka kabisa.

Imagine chadema leo hii wanamsifia Nape na kusema ni mwanademcrasia!

Yani ya Lowasa yanataka kujirudia kwa Nape. Usishangae 2025 chadema ikampa Nape chama aongoze mapambano.
 
Ile kutolewa bastola live ilimchoma sana alafu kuja ten kutumbuliwa.

Japo ndio ana unafki wake ila inaonekana alikuja gundua alompigania kuingia madarakani alikosea ndo mana akaaza kuwa kama mpinzani.

Hata kipindi magu yupo naona alishawahi lalamika wanaotaka muongezea muda magu pia alishawahi ongea tujenge serikali imara sio mtu imara(magu).

Yuko kinyume sana na ccm wengi. Hata mbeleni ccm ikipoteza dira msije shangaa akawaa mpinzani.
 
Hahahha.. Kusema ukweli ccm itaendelea sana kutawala miaka na miaka mpaka pale kizazi hiki kitakapotoweka kabisa.

Imagine chadema leo hii wanamsifia Nape na kusema ni mwanademcrasia!

Yani ya Lowasa yanataka kujirudia kwa Nape. Usishangae 2025 chadema ikampa Nape chama aongoze mapambano.
Chadema wanaingiaje kwenye hoja hii??
 
Ni kweli Nape amewahi kutoa kauli tata ktk uchaguzi wa 2015 iliyoashiria kuwa Nape si muumini wa demokrasia. Kauli ya "goli la mkono".

Pia alikuwa waziri wa habari wakati Muswada kandamizi wa kubinya Uhuru wa vyombo vya habari unapelekwa bungeni. (Lakini hapa siyo kosa lake, alitumwa na bosi wake)

Pamoja na yote hayo. Nape alijitahidi sana kupambana na ukandamizaji wa Magufuli wa haki za kisiasa na kiraia. Lkn watanzania tulimuqngusha, hatukumpa support.

Soma hapa chini maoni ya wadau wengine mitandaoni.

View attachment 1762539
Tundu lisu ni nabii......kama mwelewa utaelewa
 
Ni kweli Nape amewahi kutoa kauli tata ktk uchaguzi wa 2015 iliyoashiria kuwa Nape si muumini wa demokrasia. Kauli ya "goli la mkono".

Pia alikuwa waziri wa habari wakati Muswada kandamizi wa kubinya Uhuru wa vyombo vya habari unapelekwa bungeni. (Lakini hapa siyo kosa lake, alitumwa na bosi wake)

Pamoja na yote hayo. Nape alijitahidi sana kupambana na ukandamizaji wa Magufuli wa haki za kisiasa na kiraia. Lkn watanzania tulimuqngusha, hatukumpa support.

Soma hapa chini maoni ya wadau wengine mitandaoni.

View attachment 1762539
Sawa lakini hatujasahau alipozuia bunge laivu na kauli yake ya ccm itashinda kwa goli la mkono
 
Ni kweli Nape amewahi kutoa kauli tata ktk uchaguzi wa 2015 iliyoashiria kuwa Nape si muumini wa demokrasia. Kauli ya "goli la mkono".

Pia alikuwa waziri wa habari wakati Muswada kandamizi wa kubinya Uhuru wa vyombo vya habari unapelekwa bungeni. (Lakini hapa siyo kosa lake, alitumwa na bosi wake)

Pamoja na yote hayo. Nape alijitahidi sana kupambana na ukandamizaji wa Magufuli wa haki za kisiasa na kiraia. Lkn watanzania tulimuqngusha, hatukumpa support.

Soma hapa chini maoni ya wadau wengine mitandaoni.

View attachment 1762539
Kwasasa ametoa bomu zito zaidi kwa Ndugai kuwa mambo ya covid 19 yafikie hitimisho kama sheria na kanuni za bunge zisemavyo kuwa ili uwe mbunge sharti uwe na chama
 
Mzee wa Bao la Mkono leo kawa kipenzi cha wana chadema...Kweli dunia inakwenda kasi sana.
 
Kwasasa ametoa bomu zito zaidi kwa Ndugai kuwa mambo ya covid 19 yafikie hitimisho kama sheria na kanuni za bunge zisemavyo kuwa ili uwe mbunge sharti uwe na chama
Hili Ni bomu kubwa kwa Ndugai. Na litamvua nguo kwa hatua yoyote atakayochukua.
 
Mzee wa Bao la Mkono leo kawa kipenzi cha wana chadema...Kweli dunia inakwenda kasi sana.
Mbona hushangai wanaccm waliokuwa wakimshangilia mwendazake leo hii wanamponda?
 
Mbona hushangai wanaccm waliokuwa wakimshangilia mwendazake leo hii wanamponda?
Kwaio na nyie mmeamua kua wanafiki na vigeu geu msio jua mnalolisimamia?
Hii hatari sana km imefika mahali mnaweza kujilinganisha na hao watu...
 
Usimsahau mwana CCzm aliyefukuzwa, Bernard Membe, huyu alisimama kiume kutaka kumuondoa madarakani kupitia humohumo ndani ya CCM
 
Ni kweli Nape amewahi kutoa kauli tata ktk uchaguzi wa 2015 iliyoashiria kuwa Nape si muumini wa demokrasia. Kauli ya "goli la mkono".

Pia alikuwa waziri wa habari wakati Muswada kandamizi wa kubinya Uhuru wa vyombo vya habari unapelekwa bungeni. (Lakini hapa siyo kosa lake, alitumwa na bosi wake)

Pamoja na yote hayo. Nape alijitahidi sana kupambana na ukandamizaji wa Magufuli wa haki za kisiasa na kiraia. Lkn watanzania tulimuqngusha, hatukumpa support.

Soma hapa chini maoni ya wadau wengine mitandaoni.

View attachment 1762539
Akipewa uwaziri hutaamini kama ni yule Nape unayemjua.
 
Ni kweli Nape amewahi kutoa kauli tata ktk uchaguzi wa 2015 iliyoashiria kuwa Nape si muumini wa demokrasia. Kauli ya "goli la mkono".

Pia alikuwa waziri wa habari wakati Muswada kandamizi wa kubinya Uhuru wa vyombo vya habari unapelekwa bungeni. (Lakini hapa siyo kosa lake, alitumwa na bosi wake)

Pamoja na yote hayo. Nape alijitahidi sana kupambana na ukandamizaji wa Magufuli wa haki za kisiasa na kiraia. Lkn watanzania tulimuqngusha, hatukumpa support.

Soma hapa chini maoni ya wadau wengine mitandaoni.

View attachment 1762539
Sasa hicho ndio kupambania demokrasia? Huko ni kutafuta sifa za 'umimi' kupitia uropokaji.

Please checkout below

Is a system of government by the whole population or all the eligible members of a state, typically through elected representatives that controls an organization or group by the majority of its members. Democracy derived from Greek ‘demokratia’, coined as demos (people) and kratos (rule)
 
Nape hakukubaliana na mambo mengi sana ya awamu tano. Myonge mnyongeni......
 
Back
Top Bottom