Nape Nnauye ni nani haswa Tanzania?

Nape Nnauye ni nani haswa Tanzania?

Anataka na sisi tuchangie kumponda, sijui tumtoe madarakani, sijui tumfanyeje ht huwa simwelewi huyu jamaa kama huwa anataka nini hasa!
Kutwa kucha kuloloma, sijui ndo mjane mwenyewe alofiwa kule Chaaattle...
Wewe si ajabu ndio linape lenyewe.
 
Nape mtu wa kawaida kama wengine? Unaifahamu CCM wewe? Muulize nape akutajie kiasi cha hisa zake ndani ya chama kama hujajikuta ukimuamkia “shikamoo boss”[emoji28]
ohooo
 
Huyu anayeitwa Nape anaonekana ana uchungu sana na hii nchi. Sijui ndio uzalendo?

Nimekuwa nikimfuatilia tangu kipindi cha awamu ya nne alipokuwa anabwata majukwaani kwa matusi na mbwembwe za kisiasa...
Shida ya Nape ni mini?

Yeye nadhani ni mtanzania na ni mwanadamu pia anastahili kutoa maoni.

Kwa anayeona hayafai achana nayo. Au lile kundi la wazembe wa kufikiri waliodhani kijana wa Chato alitokea mbinguni wala hawezi kukufa bado mapogo hadi leo
.
 
Wewe kamaunachuki zako basi endelea kumponda Nape lakini kwamimi binafsi nakubali sana kwani nikijana mwenye musimamo yake lakini hatokea Kaskazini labda ndio kosalake
 
Nape mtu wa kawaida kama wengine? Unaifahamu CCM wewe? Muulize nape akutajie kiasi cha hisa zake ndani ya chama kama hujajikuta ukimuamkia “shikamoo boss”😅
Chama cha kitaifa kinakuwa na hisa za watu binafsi kama share holders kwenye ushirika ama sacoss!

Hii imekaaje hii!
 
"Sisi tunataka kuwasha mwenge, na kuuweka juu mlima Kilimanjaro, umulike hata nje ya mipaka yetu, ulete tumaini, na upendo pale penye chuki"

Do U know the song? Composed by Moses Nnauye, getting words from the devil claiming to protect our mother land
 
No kijna wa nnje ya ndoa wa brigedier Moses nahuye muimbaji wa nyimbo za tano Ni binamu ake kbsa na January makang
 
Kwa jiwe waliufyata kama mbwa koko.
Sukuma gang mkaota mapembe kwa Jiwe. Kuleni jeuri yenu ile ya awamu ya 5. Mbona malalamiko kila kukicha? Wakati ule si mlikuwa mnajidai mnakuwaga na maamuzi magumu? Fanyeni hayo maamuzi tuone. Yanini malalamiko? Tushawachoka.
 
Back
Top Bottom