Nape Nnauye: Nilikatazwa Kwenda kuchunguza Uvamizi Clouds, niliambiwa nitafukuzwa kazi

We ndio kiazi.Wakati ule aliomba msamaha tu.Aliogopa kusema.Huyu ni kiazi mbatata Kama ww.Ni mnafiki .Sisi hatutaki unafiki.
Halafu baada ya kusema lile bedui lenu lililo kuwa lina ua na kuteka watu limfanyeje? Ndio maana huwa nawaona mna akili ndogo sana.
 
Nape hana ujasiri wa kulinda heshima ni mhuni tu kama wahuni wengine
Kipi kinamfanya asilinde heshima mpaka anatetea mitandao ya simu kuwanyonya watu.
Kipi kinamfanya asitoe kibali kwa kampuni ya star link kuwekeza hapa Nchini ?
 
Kwa nini Makonda alienda na watu waliokuwa na silaha katika kituo cha habari? Hii haikuwa kuhatarisha usalama wa wafanyakazi wa hichk kituo?

Inamaanisha watu walio washikaji kiasi cha kuvuka mipaka wakigombana kiasi cha mshikaji mmoja kuja na silaha kwa mshikaji mwingine polisi au serikali haitakiwi kufanya uchunguzi na kuchukua hatua zozote??
 
Na ulipoambiwa uchague kuacha live coverage ya matangazo ya bunge au kazi ulichagus nini
 
Mwendazake alikuwa anaendesha nchi hii kipumbavu sana. Kama Mungu asingefanya maamuzi magumu hadi sasa, nchi hii ingeingia jumla kwenye mikono haramu ya Sukuma Gang.
 
Aende kachunguze SASA hivi Yupo huru
 
Msamaha si aliomba kuhusu zile voice calls au usha sahau? Sioni kama msamaha unahisiana na bashite.
 
Hahaha
Hivi si alikuwa Katibu wa Uenezi huyu?

Muongo kuliko shetani.

Yeye alienda kuwapa pole maana kuchunguza ni kazi ya polisi.

Nape ni muongo hatari
 
Shida kubwa ni majungu na fitina na fitina chanzonkikuu Cha matatizo.

baadhi ya watendaji wengi wazuri wenye uwezo mkubwa kiutendaji hupigwa majungu na kufitiniwa sasa unapo Kuta kiongozi naye anaendekeza majungu ndio basi Tena.

Tunawaomba viongozi wetu wenye dhamana sehemu mbalimbali kamwe wasiendekeze kusikiliza majungu.
 
Nape ana heshima gani ya kulinda?

Kilichompeleka ikulu kitu gani kama alikuwa na misimamo isiyoyumba.

Aache kujikosha!
 
Hawa wanasiasa wanatuchukulia sisi wananchi wote wa taifa hili kama ni watu wenye level moja ya ufikiri (low thinking level), hawajui kama kuna watu ni ma-critical thinkers. Wanatudharau sana hawa, STUPID!.
 
Unafiki pro max makonda na clouds washayamaliza kitambo iweje uje leo kuropoka,tz kila mtu anajifanya anajua,hongera mwenye akili kubwa Kama kichwa chako[emoji23]
Kumbe jinai inaruhusiwa watu kumazina? Sasa mahakama na magereza Ni za kazi gani si watu wawe Wana malizana tu.ama namuna gani wajameni.
 
80 tzs ili kupiga sabuni cloud, wajuba kuona akachimbwa biti, waliotoa usipojitokeza na waliotoa ni wafanya ugali ile kutengeneza dona ndiyo bise yao, kuona nganda ilivyo na nguvu duh wangemuua, duh vile basi bora kupoteza ila awe hai na kwenda msamaha tu ila nipo hai. Sasa yupi mzalendo mla rushwa na anaye sapoti dona??????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…