Nape Nnauye: Nilikatazwa Kwenda kuchunguza Uvamizi Clouds, niliambiwa nitafukuzwa kazi

Nape Nnauye: Nilikatazwa Kwenda kuchunguza Uvamizi Clouds, niliambiwa nitafukuzwa kazi

Nyie mnao semaga mbona hukusema wakati yupo huwa nawaona mnaakili ndogo sana sijui kwanini?
Sasa si achukue hatua, afanye uchunguzi, clouds wapo, aliyevamia yupo, yeye kama waziri yupo, muda upo, raslimali zipo, sheria zipo, nini kinamshinda sasa hivi kufanya uchunguzi wa jambo hilo na kuchukua hatua?
 
Clouds hawawezi kurudi kivingine kama wale wengine waliorudi kudai nyumba na magari yao?
Unafiki pro max makonda na clouds washayamaliza kitambo iweje uje leo kuropoka,tz kila mtu anajifanya anajua,hongera mwenye akili kubwa Kama kichwa chako[emoji23]
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye amesema wakati anaenda kufanya uchunguzi wa uvamizi uliofanywa Clouds na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda alizuiwa kwa kuambiwa kuwa atafukuzwa kazi kama ataenda kuchunguza tukio hilo.

“Asubuhi yake nilizuiwa kwenda kuchunguza, nikaambiwa ukienda utakuwa hauna kazi. Nikasema ni bora nisiwe na kazi lakini nilinde heshima.”

Ameongeza, “Kwa sababu katika mazingira wewe ndiyo waziri, watu wanavamia kituo, halafu wewe unatakiwa usiende. Unachagua kati ya heshima na kazi. Heshima utaenda nayo, kazi ipo siku itaondoka tu, kwa hiyo nikachagua heshima ambayo nadhani naendelea nayo leo”.

"Kwamba mwajiri anasema ukienda kazi huna, nikasema sawa, halafu mimi naendelea kusema tunachunguza, mwajiri anasema bhana wewe uliyevamia endelea na kazi vizuri hakuna shida"

Baada ya tukio hilo, Waziri Nape amebainisha kuwa waliunda Tume ambayo siku ya kusoma ripoti walianza kushauriana wasome au wasisome, ambapo aliwaaambia wajumbe wa tume kuwa kama wataisoma yeye hatakuwa tena na hiyo kazi.

"Wakasema Mhe. Waziri tukisoma utafukuzwa kazi, nikasema ndiyo na nimetoka kuthibitishiwa pia sasa hivi maana kabla ya pale nilipitia mahali, nikasema jamani ile taarifa ipo tayari na wananisubiria tufanyeje? Wakasema sasa uamue, uisome afu uondoke au uinyamazie uendelee na kazi. Nikatafakari, nikachagua heshima maana haviwezi kukaa pamoja"

Amekiri kuwa hata kitendo cha yeye kuondolewa wizarani hakikumshangaza kwa kuwa alijua litatokea, wakati anapokea taarifa aliwaambia wajumbe wa tume kuwa kuna gharama za kulipa baadae na yeye yupo tayari.
Katika hili, nilikuwa naomba nijaribu kumshauri Mh. Waziri aache kuendelea kuongelea mambo negative yanayomhusu Rais wa Nchi bila kujali ni Rais aliyepita, aliyepo au atakayekuja; assuming hatakuwa yeye , kwa sababu mpaka muda huu bado mamlaka hiyo hiyo ndiyo iliyomuona kuwa anafaa na hivyo kumpa heshima ya kuendelea kutumika chini ya mamlaka hiyo.

Mpaka muda huu, Mh. Waziri anatumika kwenye mamlaka ile ile; huku aliyebadilika kwenye mamlaka za juu akiwa ni mtu tu

Kwa Mh. Waziri kuendelea kuongelea maswala yaliyopita anakuwa kwa namna fulani haitendei haki mamlaka iliyopo sasa, na ambayo ndiyo bado anaendelea kutumika chini yake
 
Shirika la TTCL linakufa mikononi mwako fanya KITU KULINDA HESHIMA YAKO. Usituletee HABARI ZILIZOPITA HAPA
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye amesema wakati anaenda kufanya uchunguzi wa uvamizi uliofanywa Clouds na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda alizuiwa kwa kuambiwa kuwa atafukuzwa kazi kama ataenda kuchunguza tukio hilo.

“Asubuhi yake nilizuiwa kwenda kuchunguza, nikaambiwa ukienda utakuwa hauna kazi. Nikasema ni bora nisiwe na kazi lakini nilinde heshima.”

Ameongeza, “Kwa sababu katika mazingira wewe ndiyo waziri, watu wanavamia kituo, halafu wewe unatakiwa usiende. Unachagua kati ya heshima na kazi. Heshima utaenda nayo, kazi ipo siku itaondoka tu, kwa hiyo nikachagua heshima ambayo nadhani naendelea nayo leo”.

"Kwamba mwajiri anasema ukienda kazi huna, nikasema sawa, halafu mimi naendelea kusema tunachunguza, mwajiri anasema bhana wewe uliyevamia endelea na kazi vizuri hakuna shida"

Baada ya tukio hilo, Waziri Nape amebainisha kuwa waliunda Tume ambayo siku ya kusoma ripoti walianza kushauriana wasome au wasisome, ambapo aliwaaambia wajumbe wa tume kuwa kama wataisoma yeye hatakuwa tena na hiyo kazi.

"Wakasema Mhe. Waziri tukisoma utafukuzwa kazi, nikasema ndiyo na nimetoka kuthibitishiwa pia sasa hivi maana kabla ya pale nilipitia mahali, nikasema jamani ile taarifa ipo tayari na wananisubiria tufanyeje? Wakasema sasa uamue, uisome afu uondoke au uinyamazie uendelee na kazi. Nikatafakari, nikachagua heshima maana haviwezi kukaa pamoja"

Amekiri kuwa hata kitendo cha yeye kuondolewa wizarani hakikumshangaza kwa kuwa alijua litatokea, wakati anapokea taarifa aliwaambia wajumbe wa tume kuwa kuna gharama za kulipa baadae na yeye yupo tayari.
Nilikatazwa nilikatazwa, TTCL inakufa mikononi mwako!
Tafuta jinsi ya kuinusuru.
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye amesema wakati anaenda kufanya uchunguzi wa uvamizi uliofanywa Clouds na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda alizuiwa kwa kuambiwa kuwa atafukuzwa kazi kama ataenda kuchunguza tukio hilo.

“Asubuhi yake nilizuiwa kwenda kuchunguza, nikaambiwa ukienda utakuwa hauna kazi. Nikasema ni bora nisiwe na kazi lakini nilinde heshima.”

Ameongeza, “Kwa sababu katika mazingira wewe ndiyo waziri, watu wanavamia kituo, halafu wewe unatakiwa usiende. Unachagua kati ya heshima na kazi. Heshima utaenda nayo, kazi ipo siku itaondoka tu, kwa hiyo nikachagua heshima ambayo nadhani naendelea nayo leo”.

"Kwamba mwajiri anasema ukienda kazi huna, nikasema sawa, halafu mimi naendelea kusema tunachunguza, mwajiri anasema bhana wewe uliyevamia endelea na kazi vizuri hakuna shida"

Baada ya tukio hilo, Waziri Nape amebainisha kuwa waliunda Tume ambayo siku ya kusoma ripoti walianza kushauriana wasome au wasisome, ambapo aliwaaambia wajumbe wa tume kuwa kama wataisoma yeye hatakuwa tena na hiyo kazi.

"Wakasema Mhe. Waziri tukisoma utafukuzwa kazi, nikasema ndiyo na nimetoka kuthibitishiwa pia sasa hivi maana kabla ya pale nilipitia mahali, nikasema jamani ile taarifa ipo tayari na wananisubiria tufanyeje? Wakasema sasa uamue, uisome afu uondoke au uinyamazie uendelee na kazi. Nikatafakari, nikachagua heshima maana haviwezi kukaa pamoja"

Amekiri kuwa hata kitendo cha yeye kuondolewa wizarani hakikumshangaza kwa kuwa alijua litatokea, wakati anapokea taarifa aliwaambia wajumbe wa tume kuwa kuna gharama za kulipa baadae na yeye yupo tayari.
Kwa nini hakujiuzulu kuonyesha msimamo wake?
 
Hilo lina msaada gani kwetu sisi katika ugumu huu wa maisha ??

Atutolee ujinga wake hapa.

Watu kazi hawawezi wanangangania tu ofisi za uma kama ni za mama zao.
 
Kwa nini Makonda alienda na watu waliokuwa na silaha katika kituo cha habari? Hii haikuwa kuhatarisha usalama wa wafanyakazi wa hichk kituo?

Inamaanisha watu walio washikaji kiasi cha kuvuka mipaka wakigombana kiasi cha mshikaji mmoja kuja na silaha kwa mshikaji mwingine polisi au serikali haitakiwi kufanya uchunguzi na kuchukua hatua zozote??
Uliwaona hao watu wenye silaha? Maana Video ilimwonesha akipita mapokezi tu na hakuna uvamizi wowote ule uliyoonekana. Hebu tuoneshe wewe ushahidi walikuwa na silaha
 
huyu jamaa kilaza sana!
hivi kwa nafasi aliyonayo ni wa kutueleza hayo? sisi yanatusaidia nini kwa leo hii? au anafikiri nafsi zetu haziumii kwa yeye kukumbatia makampuni ya simu?halafu huyu anafikiria katika mawazo yake anaweza kuwa waziri mkuu
 
Back
Top Bottom