Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Waziri wa Mawasiliano amezungumzia umuhimu wa Sekta ya mawasiliano nchini ambapo amesema inachangia 5.2% ya GDP ambayo ni Trilioni 5.7 kwa mwaka 2021.
Pia imepelekea ajira rasmi na zisizo rasmi milioni 1.5 sawa na 2.6%. Sekta ya mawasiliano pia imetajwa kuongeza ukusanyaji wa mapato ya serikali, kama kodi na tozo.
Simu za Mawasiliano na financial inclusion imekuwa 65% kutoka 15% kabla ya kuanzishwa kwa huduma za kifedha kutokana na simu za mkononi.
Pia ametaka kutungwa sheria itakayotambua.
Pia imepelekea ajira rasmi na zisizo rasmi milioni 1.5 sawa na 2.6%. Sekta ya mawasiliano pia imetajwa kuongeza ukusanyaji wa mapato ya serikali, kama kodi na tozo.
Simu za Mawasiliano na financial inclusion imekuwa 65% kutoka 15% kabla ya kuanzishwa kwa huduma za kifedha kutokana na simu za mkononi.
Pia ametaka kutungwa sheria itakayotambua.