Nape Nnauye: Sekta ya Mawasiliano imeajiri watu milioni 1.5

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Waziri wa Mawasiliano amezungumzia umuhimu wa Sekta ya mawasiliano nchini ambapo amesema inachangia 5.2% ya GDP ambayo ni Trilioni 5.7 kwa mwaka 2021.

Pia imepelekea ajira rasmi na zisizo rasmi milioni 1.5 sawa na 2.6%. Sekta ya mawasiliano pia imetajwa kuongeza ukusanyaji wa mapato ya serikali, kama kodi na tozo.

Simu za Mawasiliano na financial inclusion imekuwa 65% kutoka 15% kabla ya kuanzishwa kwa huduma za kifedha kutokana na simu za mkononi.

Pia ametaka kutungwa sheria itakayotambua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…