Ameacha alama katika tasnia [sorry] sekta!uduanzi huu 😂
Pengine hiyo ndio moja ya mbinu zake alizotaka kumfundisha Byabato 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Mheshimiwa Waziri Mstaafu ulikua mbunifu sana katika sekta ya Mawasiliano. Toka Uhuru hakuna Waziri aliyewahi kupanda kwenye minara ya Mawasiliano Ila wewe umeweza.
Na umeacha alama. Hongera Sana na mapumziko mema ya kustaafu Uwaziri.
Alama gani ameacha? Nini so special amefanya kipind chale ambao wengine hawakufanya?Mheshimiwa Waziri (Mstaafu) [MB] ulikua mbunifu sana katika sekta ya Mawasiliano. Toka Uhuru hakuna Waziri aliyewahi kupanda kwenye minara ya Mawasiliano Ila wewe umeweza.
Na umeacha alama. Hongera Sana na mapumziko mema ya kustaafu Uwaziri. Endelea Kula mema ya ubunge mpaka Wananchi watakavyoamua vinginevyo.
Kupanda juu ya minara ya simuAlama gani ameacha? Nini so special amefanya kipind chale ambao wengine hawakufanya?
Huyo ni billionaire kwa sasa kupitia voda airtel na tigo ampiga sana hela ya kuwazuia starlink isiingie nchiniKupanda juu ya minara ya simu
UBUNGE WA GOLI LA MKONO UMEPITWA NA WAKATI ,Mheshimiwa Waziri (Mstaafu) [MB] ulikua mbunifu sana katika sekta ya Mawasiliano. Toka Uhuru hakuna Waziri aliyewahi kupanda kwenye minara ya Mawasiliano Ila wewe umeweza...
Tulia nduguUBUNGE WA GOLI LA MKONO UMEPITWA NA WAKATI ,
Hivi sasa kuna VAR
Tutulie sote ,Tulia ndugu
Ana zaidi ya D mbili😏Ataacha alama gani mtu mbumbumbu kama huyu??
View attachment 3050509
Alifanya nini kipya huko mnarani? Nani aliyemdanganya kuwa kupanda mnara ni ubunifu?Mheshimiwa Waziri (Mstaafu) [MB] ulikua mbunifu sana katika sekta ya Mawasiliano. Toka Uhuru hakuna Waziri aliyewahi kupanda kwenye minara ya Mawasiliano Ila wewe umeweza.
Na wewe unatumbuliwa leo. Kuna wenzako wametumbuliwa kwa kuandika ujumbe wa shukrani kwake. By the Way kupanda kwenye minara hata tapeli anaweza pandaMheshimiwa Waziri (Mstaafu) [MB] ulikua mbunifu sana katika sekta ya Mawasiliano. Toka Uhuru hakuna Waziri aliyewahi kupanda kwenye minara ya Mawasiliano Ila wewe umeweza...
Du jamaa alikuwa mbunifu balaaMheshimiwa Waziri (Mstaafu) [MB] ulikua mbunifu sana katika sekta ya Mawasiliano. Toka Uhuru hakuna Waziri aliyewahi kupanda kwenye minara ya Mawasiliano Ila wewe umeweza...