- Thread starter
- #21
Alilipandisha sanamu Eunice mnaraniAlifanya nini kipya huko mnarani? Nani aliyemdanganya kuwa kupanda mnara ni ubunifu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alilipandisha sanamu Eunice mnaraniAlifanya nini kipya huko mnarani? Nani aliyemdanganya kuwa kupanda mnara ni ubunifu?
Roboti kaka Hujaliona lile😂😂 kazi yake ile.Alama gani ameacha? Nini so special amefanya kipind chale ambao wengine hawakufanya?
🥱🥱🥱Ameacha alama katika tasnia [sorry] sekta!
Sasa hapa madai ya vyombo vya habari lazima yaanze kufanyiwa uhakiki upyaMheshimiwa Waziri (Mstaafu) [MB] ulikua mbunifu sana katika sekta ya Mawasiliano. Toka Uhuru hakuna Waziri aliyewahi kupanda kwenye minara ya Mawasiliano Ila wewe umeweza.
Na umeacha alama. Hongera Sana na mapumziko mema ya kustaafu Uwaziri. Endelea Kula mema ya ubunge mpaka Wananchi watakavyoamua vinginevyo.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
View attachment 3050125
Ashafutwa kazi ya uwaziri akaombe kukwea minara sasa sindio kazi zakeKupanda juu ya minara ya simu
Nchi ina wasanii wengiMheshimiwa Waziri (Mstaafu) [MB] ulikua mbunifu sana katika sekta ya Mawasiliano. Toka Uhuru hakuna Waziri aliyewahi kupanda kwenye minara ya Mawasiliano Ila wewe umeweza.
Na umeacha alama. Hongera Sana na mapumziko mema ya kustaafu Uwaziri. Endelea Kula mema ya ubunge mpaka Wananchi watakavyoamua vinginevyo.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
View attachment 3050125
Which , when, what 🤣🤣🤣Ameacha alama katika tasnia [sorry] sekta!
Waziri anayesema pilau haifai lakini amefollow mapilau mtandaoni. Kweli ameacha alamaAmeacha alama katika tasnia [sorry] sekta!
Mdomo uliuponza kichwa
Alipanda huko kwenye mnara kufanya kitu gani?Mheshimiwa Waziri (Mstaafu) [MB] ulikua mbunifu sana katika sekta ya Mawasiliano. Toka Uhuru hakuna Waziri aliyewahi kupanda kwenye minara ya Mawasiliano Ila wewe umeweza.
Na umeacha alama. Hongera Sana na mapumziko mema ya kustaafu Uwaziri. Endelea Kula mema ya ubunge mpaka Wananchi watakavyoamua vinginevyo.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
View attachment 3050125