Uchaguzi 2020 Nape Nnauye, Uropokaji wako unakuponza sana. Aahidi kupiga watu Mabuti

Uchaguzi 2020 Nape Nnauye, Uropokaji wako unakuponza sana. Aahidi kupiga watu Mabuti

Unapomwambia PM kwamba Usalama wa taifa ubaki huko huko DSM kwamba ninyi mna vikosi vyenu una maana gani?

Hivi sheria ya vyama vya si inazuia kua na vikosi vya ulinzi?
Huu sasa ni sawa na ujangili ikiwa hivi mikosi haitakiwi halafu wewe unavyo.
Acha kuropoka, kila mtu akisema ana kikosi chake patakalika?

Unataka kutuchafulia chama tulishakuonya unyamaze. CCM hatuna vikosi kama umaanishavyo wewe ispokua tuna chipukizi. Huo mdomo itatuletea matatizo.Huna mamlaka wala hadhi ya kuzuia vyombo vya umma kufanya kazi.

Ngoja ukatwe urudi mtaani ndio utajua, kwanza umetuhumiwa kugawa pesa nyakati za uchaguzi na ushahidi upo. Hakuna atakayekuonea huruma wakati huu. Kwanza kuna tetesi kua mnakutana na Membe kwenye hoteli zake usiku na unasubiri ukatwe uhamie ACT. Tulishakustukia kitambo sana
View attachment 1536951

Nape hana uhakika wa kupitishwa na CCM na akipitishwa na CCM hana uhakika wa kushinda hilo jimbo aliloachiwa na Membe.
 
Kwa Jinsi Mbasha alivyoenda chini kwa Buti Dhaifu la Adam Mchomvu.

Na Kwa kuwa Mbasha amewakilisha Jinsi Wanachama wa chama Chenu mlivyo Nyoronyoro na Laini.

Mdugu yangu Nape bado unataka Waziri Mkuu atuachie tutembezeane Buti uwanjani ?
 
Back
Top Bottom