Lowasa Namkubali
Member
- Dec 14, 2011
- 21
- 0
La hasha!....Sijamtetea wala nini......Nilitaka tu uweke Dessertation yako tuijadili kwanza kabla hatujaijadili ya Nape...
Hizi story za mtaani tu. Mtu mwenyewe umesema hata hujagraduate! Haya umeyajulia wapi?Usithubutu kabisa ndugu yangu kusoma hapo. Hicho ni chuo cha watu wenye akili kama za NAPE! Vyeti vya Mzumbe (For Master) haviheshimiki kwa baadhi ya taasisi especially International Instituitions!
Graduate kwanza ndio nitasema hicho kingine ninachotaka.....Ok mi bado sijagraduate! Sema kingine unachotaka! Lakini kwa nini aumsisitizii NAPE aweke Dessertation yake hapa Jamvini? Kuna mtu ameniandikia kwenye Inbox yangu anadai kwamba Dessertation ya NAPE ilikuwa kurasa tatu tu! Nimecheka mpaka basi!
Ndiyo maana ya u-great thinker!!siyo uje kienyeji kisa umetoka kwa mungu hapa unapigwa nondo kwanza ikiyeyuka nakuwa bua tunajua kweli nabii vinginevyo tutaka cv tangu unazaliwa!jf IMEKUA NGUMU SANA SIKU HIZI... HATA AJE MTUME HAPA WATU WATAOMBA VYETI NA SIGNATURE TOKA KWA MUNGU NA WATAULIZA KAMA MUNGU ALIKUA AMELEWA AU SOBER WAKATI ANATUNUKU VYETI YA UNABII
HONGERA NAPE, UMEFANYA JEMA KULIKO WALE WANAOISHIA KUNUNUA VYETI KAMA MAWAZIRI FULANI
Kwelikweli maana yake nini??kwa hiyo imeshakuwa itikadi??unataka kusema Nape akisema anakukameroon ukotayari kwa sasababu wewe ni green guard??!!!amaakweli!kasomee kwenye maandamano na kukataa posho wakati mna njaa kibao.
Mkuu Kanigini!!! kwa maana hiyo wa muache apite tu kwakuwa hatuna masters?? Hivyo nimakosa kumuandika rais kwakuwa sisi siyo marais??!!wewe ndo kiazi kweli!!
Hizi story za mtaani tu. Mtu mwenyewe umesema hata hujagraduate! Haya umeyajulia wapi?
Graduate kwanza ndio nitasema hicho kingine ninachotaka. Bala.
Degree ya Kwanza India, Degree ya pili Mzumbe! atakuwa kasomea online ama uchakachuzi tu!
View attachment 43538
Kuna jaama hapa jamvini alitishia kumshitaki kwa kosa hili...Mi bado sijagraduate. Nikimaliza yangu nitaiweka! Mwambie NAPE basi aiweke yake hapa jamvini mbona unamtetea? Au alibadilisha cover page ya mtu mwingine akai-submit kama yake?!