Hili tatizo limekuwa kubwa sana, unakuta mtu anakaimu zaidi ya miaka 3+. Tatizo hili lipo sio tu Tamisemi bali hadi baadhi ya Taasisi za Serikali.
Na inapotokea mtu unamkaimisha, kwanza anakuwa sio huru kufanya maamuzi kwa kuwa ana wasiwasi wa nafasi yake kuipoteza.
Nadhani jambo hili waliangalie kwa jicho la karibu Ku rescue situation