Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,115
- 2,771
Wenye Ccm hutoka chipukizi Kisha UVCCM Kisha UWT au jumuiya ya wazazi kama hujapitia hapo ww ni msakatonge tuNape Nauye na January Makamba inasemekana ndio wajuzi wakubwa wa wale wanaokimiliki chama tawala cha CCM.
Kwa unyeyekevu mkubwa, tungependa kuwajua wamiliki wakubwa wa Chama chetu cha CCM. Je chama ni mali ya Wahuni wachache au wananchi. Hili ni swali gumu sana kwetu sisi wananchi wa kawaida
CCM ni mali ya wahuni kama vile Job Ndugai,Humphrey Polepole,Lusinde,Musiba,Diamond,Makonda,Sabaya,Mwigulu Nchemba na wengine wengi.Nape Nauye na January Makamba inasemekana ndio wajuzi wakubwa wa wale wanaokimiliki chama tawala cha CCM.
Kwa unyeyekevu mkubwa, tungependa kuwajua wamiliki wakubwa wa Chama chetu cha CCM. Je chama ni mali ya Wahuni wachache au wananchi. Hili ni swali gumu sana kwetu sisi wananchi wa kawaida
Itawamaliza wasiojielewa lakini kama kweli unaamini kuwa ulikuja duniani kwa sababu maalum kwa nini uyumbishwe na ccm,chadema,cuf au act-wazalendo?CCM itatumaliza
Wenye CCM ni wanachama wa CCM ukiondoa mazwazwa na Sukuma gangNape Nauye na January Makamba inasemekana ndio wajuzi wakubwa wa wale wanaokimiliki chama tawala cha CCM.
Kwa unyeyekevu mkubwa, tungependa kuwajua wamiliki wakubwa wa Chama chetu cha CCM. Je chama ni mali ya Wahuni wachache au wananchi. Hili ni swali gumu sana kwetu sisi wananchi wa kawaida