Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Aiseeee!! Niko kwenye serikali mbili lakini nape kwa kejeli zake? Wacha tu....Source Uhuru 05/08/2013
Kauli tata za Nape Mnauye kama nilivyomnukuu katika gazeti la Uhuru kwa kauli za kejeli na matusi kwa kusema kuwa wanapenda serikali mbili ndio wenye akili timamu, kwa maana nyingine jaji Warioba na wananchi waliopendekeza ni mamburura.
Aliyasema hayo katika ukumbi wa BOT katika semina ya vijana wa CCM na akadai CCM inajiandaa kimkakati kuhakikisha serikali tatu inaondolewa katika katiba mpya. Na akahoji kama CHADEMA watasusia hawana faida kwani hata bajeti hawakuwepo na ikapita na hata kwenye katiba wasipo kuwepo wataipitisha
Lazima atakanushaSource Uhuru 05/08/2013
Kauli tata za Nape Mnauye kama nilivyomnukuu katika gazeti la Uhuru kwa kauli za kejeli na matusi kwa kusema kuwa wanapenda serikali mbili ndio wenye akili timamu, kwa maana nyingine jaji Warioba na wananchi waliopendekeza ni mamburura.
Aliyasema hayo katika ukumbi wa BOT katika semina ya vijana wa CCM na akadai CCM inajiandaa kimkakati kuhakikisha serikali tatu inaondolewa katika katiba mpya. Na akahoji kama CHADEMA watasusia hawana faida kwani hata bajeti hawakuwepo na ikapita na hata kwenye katiba wasipo kuwepo wataipitisha
Ngoja aje akanushe hapa na kudai kwamba wamemnukuu vibaya.!
Source Uhuru 05/08/2013
Kauli tata za Nape Mnauye kama nilivyomnukuu katika gazeti la Uhuru kwa kauli za kejeli na matusi kwa kusema kuwa wanapenda serikali mbili ndio wenye akili timamu, kwa maana nyingine jaji Warioba na wananchi waliopendekeza ni mamburura.
Aliyasema hayo katika ukumbi wa BOT katika semina ya vijana wa CCM na akadai CCM inajiandaa kimkakati kuhakikisha serikali tatu inaondolewa katika katiba mpya. Na akahoji kama CHADEMA watasusia hawana faida kwani hata bajeti hawakuwepo na ikapita na hata kwenye katiba wasipo kuwepo wataipitisha
Ataanzia wapi wakati yeye ndo muhariri wa Uhuru na akaidhinisha lichapwe
Washauri wa Nape wanamdanganya ili aharibu wamtimue