Nape: Wanaotaka serikali Mbili ndio wana akili Timamu

Nape: Wanaotaka serikali Mbili ndio wana akili Timamu

huyu jamaa kwa vile hana/hamjui baba yake basi anatukana kila mzee.
 
Nape ajikite kwny kutukana CDM,Hana weledi wa kujadili mambo muhimu ya katiba.Asubuhi mtangazaji chanel ten David Ramadhani alihamaki aliposoma taito hii.akahoji inamaana wenye mawazo tofauti hawana akili
 
Huyu jamaa Nape hayuko tofauti na Nchemba hawana falsafa mzuri ya siasa ila ni maguvu tu ya akili zao..hamna kitu hapo
 
huyu wala simlaumu, ndio uwezo wake wakuyaona mambo, ni uwezo wake wakutafakari umeishia hapo si kosa lake.


Aliyemteua na kumfanya awe msemaji wa chama chao ndio chanzo cha hayo yote.....Huwa namuelewa Nape akisimulia historia ya Moses Nnauye tu, mambo mengine mimi huwa namuona ni kielelezo cha aliyemteua
 
Source Uhuru 05/08/2013

Kauli tata za Nape Mnauye kama nilivyomnukuu katika gazeti la Uhuru kwa kauli za kejeli na matusi kwa kusema kuwa wanapenda serikali mbili ndio wenye akili timamu, kwa maana nyingine jaji Warioba na wananchi waliopendekeza ni mamburura.

Aliyasema hayo katika ukumbi wa BOT katika semina ya vijana wa CCM na akadai CCM inajiandaa kimkakati kuhakikisha serikali tatu inaondolewa katika katiba mpya. Na akahoji kama CHADEMA watasusia hawana faida kwani hata bajeti hawakuwepo na ikapita na hata kwenye katiba wasipo kuwepo wataipitisha
anaposema serikali mbili atueleze serikali moja ni ya nchi gani na serikali ya pili ni ya nchi gani? alafu atueleze ni nchi gani zilizoungana
 
Nimependa hiyo kauli maana itawagharimu, siasa ni agenda wakati mwingine inakuwa vigumu kuzitengeneza hizo agenda lakini ccm imekuwa ikirahisisha kazi kwa kuandaa agenda za kujadili na kuididimiza..
 
Jibu ni moja kama tunataka muungano basi serikali iwe moja na kama ni shirikisho basi serikali lazima ziwe tatu. Gharama ni danganya toto kama ni gharama mbona hatuzungumzii gharama za nape kuzunguka nchi nzima na mada eti Dr. Slaa ana kadi ya CCM so what? Hizo pesa ni heri zitumike kuisimika serikali ya tatu madarakani.............
 
Jibu ni moja kama tunataka muungano basi serikali iwe moja na kama ni shirikisho basi serikali lazima ziwe tatu. Gharama ni danganya toto kama ni gharama mbona hatuzungumzii gharama za nape kuzunguka nchi nzima na mada eti Dr. Slaa ana kadi ya CCM so what? Hizo pesa ni heri zitumike kuisimika serikali ya tatu madarakani.............

Wanasema gharama ila hawazitaji
 
Jibu ni moja kama tunataka muungano basi serikali iwe moja na kama ni shirikisho basi serikali lazima ziwe tatu. Gharama ni danganya toto kama ni gharama mbona hatuzungumzii gharama za nape kuzunguka nchi nzima na mada eti Dr. Slaa ana kadi ya CCM so what? Hizo pesa ni heri zitumike kuisimika serikali ya tatu madarakani.............
 
Unaongea juu ya akili timamu? Nadhani yeyote asiyeona kuwa hali halisi ya kisiasa na maoni ya wananchi walio wengi kama tume ya Mheshimiwa Warioba ilivyo jumuisha ni serikali tatu, nachelea kusema kuwa huyo ana kasoro katika muono wake. Akili yake haiwezi kuona na kupambanua vizuri.
 
Source Uhuru 05/08/2013

Kauli tata za Nape Mnauye kama nilivyomnukuu katika gazeti la Uhuru kwa kauli za kejeli na matusi kwa kusema kuwa wanapenda serikali mbili ndio wenye akili timamu, kwa maana nyingine jaji Warioba na wananchi waliopendekeza ni mamburura.

Aliyasema hayo katika ukumbi wa BOT katika semina ya vijana wa CCM na akadai CCM inajiandaa kimkakati kuhakikisha serikali tatu inaondolewa katika katiba mpya. Na akahoji kama CHADEMA watasusia hawana faida kwani hata bajeti hawakuwepo na ikapita na hata kwenye katiba wasipo kuwepo wataipitisha

Form four div four ndie msemaji mkuu wa Ccm, mnategemea nini, jamani? Majaaaanga!
 
Mwenzake Kigwangalah amekiri kuwa aliwahi kuugua KWASHIOKOR na MARASMUS wakati mdogo, sasa huyu Nape sijui aliwahi kuugua POLIO?? Haya magonjwa ya utotoni huwa na side effects hadi uzeeni, na ndicho kinachowakumba Nape, HK na Nchemba. Hawezi kutumia akili huyu Nape kwa kuwa akili zenyewe hana anaishia kuropoka tu kile anachotumwa na JK
 
Nape ni mtu wa hovyo siku zote,huwa na kauli za ajabu

Haya ni madhara ya kukosa wazazi
 
Mhariri Mtendaji anaitwa Josia Mufungo, ila NAPE kwa hulka yake ameyasema na ndio maana yakapewa uzito kwenye gazeti la chama.Mkumbuke na Mwenyekiti wa Wazazi Taifa BULEMBO amewaambia wananchi huko Mbeya kuwa Rasimu hii ikipitishwa huduma za Shule, Zahanati, Hospitali na Halmashauri zitafutwa rasmi.Changanya wote hao utapata kuona jinsi CCM walivyojipanga kupotosha umma.kama Serikali tatu ni gharama kubwa basi tuwe na Serikali moja tu, lakini hatusemi kuundwa WILAYA NA MIKOA PIA KUONGEZA BARAZA LA MAWAZIRI kuwa ni gharama kubwa pia.
Umenena vyema sana! 1. Kama issue ya kuwa na serikali tatu ni gharama kuwa kubwa basi tuwe na serikali moja ili tupunguze hata hizo gharama za kuendesha serikali mbili!2. Hivi maoni yaliyotolewa kwenye Rasimu ya katiba ni ya chama ama wananchi wa Tanganyika na Zanzibar? 3. Kila kundi na wananchi, walipewa nafasi ya kutoa maoni yake na walifanya hivyo. Je, mawazo yote ya kila aliyetoa maoni yameingizwa kwenye Rasimu?4. Tume haikutoa sababu za kutoandika kila pendekezo kwenye Rasimu hii?5. Kwa nini tunapoteza muda mwingi kujadili swala la Muungano? Je, hatuna mambo menginemengi ya kujadili katika Rasimu hii ya Katiba? Na je, ni lini tutapata muda wa kuyajadili? Muda upo wa kutosha?6. ISHU YA MUUNGANO IMESHAJADILIWA VYA KUTOSHA, TUANGALIE MAMBO MENGINE YA MSINGI. Hapa isije ikawa ni ujaja wa kupoteza mawazo watu, wakalie jambo moja na waje kushituka muda umekwisha na Rasimu mpya haina jipya, mambo ya msingi mengine yakaachwa! Kuweni makini wote, huu ni mtego!
 
Hivi watanzania tunajua kuwa tunapoteza muda bure kwa kujadili jambo moja tu!!???
1. Kama issue ya kuwa na serikali tatu ni gharama kuwa kubwa basi tuwe na serikali moja ili tupunguze hata hizo gharama za kuendesha serikali mbili!
2. Hivi maoni yaliyotolewa kwenye Rasimu ya katiba ni ya chama ama wananchi wa Tanganyika na Zanzibar?
3. Kila kundi na wananchi, walipewa nafasi ya kutoa maoni yake na walifanya hivyo. Je, mawazo yote ya kila aliyetoa maoni yameingizwa kwenye Rasimu?
4. Tume haikutoa sababu za kutoandika kila pendekezo kwenye Rasimu hii?
5. Kwa nini tunapoteza muda mwingi kujadili swala la Muungano? Je, hatuna mambo menginemengi ya kujadili katika Rasimu hii ya Katiba? Na je, ni lini tutapata muda wa kuyajadili? Muda upo wa kutosha?
6. ISHU YA MUUNGANO IMESHAJADILIWA VYA KUTOSHA, TUANGALIE MAMBO MENGINE YA MSINGI. Hapa isije ikawa ni ujaja wa kupoteza mawazo watu, wakalie jambo moja na waje kushituka muda umekwisha na Rasimu mpya haina jipya, mambo ya msingi mengine yakaachwa! Kuweni makini wote, huu ni mtego!
 
Kwa hiyo hata Jaji Bomani aliyekiri kupendelea serikali tatu hana akili timamu?

Huyu dogo kwa matusi ya rejareja hajambo, mi tangu aliposdma Mwanza mimba changa zinawasumbu ndo nilianza kumkoma, sijui kakulía wapi huyu mtoto...
 
Yupo sahihi kabisa kwani wameanzia kuua Azimio la Arusha, siasa ya Ujamaa na Kujitegemea ipo vitabuni tuu sasa, nyumba za serikali kuuzwa na kadharika. Wanavong'ang'ania serikali mbili wamelenga kuua Muungano haraka sana.
 
Back
Top Bottom