Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, ameitaka Serikali, iunde tume ya kuchunguza madai ya walimu, waliopandishwa madaraja bila mishahara, waliofutiwa barua za kupandishwa madaraja.
"Serikali ya CCM, ni ya wakulima na wafanyakazi, twendeni tukatende haki, haki huinua taifa."
"Naiomba serikali, Chama cha wakulima na wafanyakazi twendeni tukatende haki kwenye suala la stahiki, leo kuna watu wanastaafu wanakaa kule mpaka wanakuwa wanyawa gongo kwasababu hamuwapi stahiki zao za kuondokea kwenye vituo vyao vya kazi"
"Serikali ya CCM, ni ya wakulima na wafanyakazi, twendeni tukatende haki, haki huinua taifa."
"Naiomba serikali, Chama cha wakulima na wafanyakazi twendeni tukatende haki kwenye suala la stahiki, leo kuna watu wanastaafu wanakaa kule mpaka wanakuwa wanyawa gongo kwasababu hamuwapi stahiki zao za kuondokea kwenye vituo vyao vya kazi"