Ikiwa pamoja na wale wazee waliokua wafanyakazi wa EAC,serikali ya Tanzania ILIIBA fedha za wazee hawa.Safi Nape umetumia ushawishi wako uliojariwa kuwatetea wanyonge,nimefuatilia ulichoongea ni point tupu,inshalah utalipwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikiwa pamoja na wale wazee waliokua wafanyakazi wa EAC,serikali ya Tanzania ILIIBA fedha za wazee hawa.Safi Nape umetumia ushawishi wako uliojariwa kuwatetea wanyonge,nimefuatilia ulichoongea ni point tupu,inshalah utalipwa.
Hajavurugwa yupo sahihi kabisa,nina ushahidi wa wastaafu zaidi ta wanne wamestaafu toka 2016 hadi leo hawajalipwa stahiki ya kuwarudisha makwao.Nape ameshavurugwa!
Sasahivi kila mtu akili inarudi taratibuMwanaHALISI Digital tweet:
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, ameitaka Serikali, iunde tume ya kuchunguza madai ya walimu, waliopandishwa madaraja bila mishahara, waliofutiwa barua za kupandishwa madaraja kwani "Serikali ya CCM, ni ya wakulima na wafanyakazi, twendeni tukatende haki, haki huinua taifa."
ALikuwa shetani kabisaJiwe alikuwa Hana huruma kabisa na wafanyakaz , kawapora sana stahiki zao, sijui alikuwa anawaza nini
MwanaHALISI Digital tweet:
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, ameitaka Serikali, iunde tume ya kuchunguza madai ya walimu, waliopandishwa madaraja bila mishahara, waliofutiwa barua za kupandishwa madaraja kwani "Serikali ya CCM, ni ya wakulima na wafanyakazi, twendeni tukatende haki, haki huinua taifa."
Hujamsikia Gwaji boy?MwanaHALISI Digital tweet:
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, ameitaka Serikali, iunde tume ya kuchunguza madai ya walimu, waliopandishwa madaraja bila mishahara, waliofutiwa barua za kupandishwa madaraja kwani "Serikali ya CCM, ni ya wakulima na wafanyakazi, twendeni tukatende haki, haki huinua taifa."
Pumbafu wale hafaiBinadamu kaumbwa kubadilika, usione ajabu.
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, ameitaka Serikali, iunde tume ya kuchunguza madai ya walimu, waliopandishwa madaraja bila mishahara, waliofutiwa barua za kupandishwa madaraja kwani "Serikali ya CCM, ni ya wakulima na wafanyakazi, twendeni tukatende haki, haki huinua taifa."
Jiwe alikuwa Hana huruma kabisa na wafanyakaz , kawapora sana stahiki zao, sijui alikuwa anawaza nini
Machinga hawa wanatakiwa wawe sehemu sahihi kulingana na level yao , unakuta mtu analipa frem laki Saba , mbele yake kuna machinga analipa 50000 , af anachekelea na kujiita mpambanaji... ..Fukuza kabisa hao watu waende sehemu sahihi ya umachinga
Sio hawa,hawa ni wanafiki wakubwa sana,mathalan...just mathalan leo Magufuli akifufuka utaona wanavyoenda kumuomba msamaha kwa haya wanayoyaongea sasa.Binadamu kaumbwa kubadilika, usione ajabu.
MwanaHALISI Digital tweet:
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, ameitaka Serikali, iunde tume ya kuchunguza madai ya walimu, waliopandishwa madaraja bila mishahara, waliofutiwa barua za kupandishwa madaraja kwani "Serikali ya CCM, ni ya wakulima na wafanyakazi, twendeni tukatende haki, haki huinua taifa."
Nape ameshavurugwa!
Pengine mda huu anatamani asinge muomba mwendazake radhi!!Kisebengo huyu alikuwa wapi kuyaongea haya mbele ya mwendazake? Kwani hakujua kwamba yametendeka kwenye awamu gani?