Nape: Watu wanastaafu wanakaa mpaka wanakuwa wanywa gongo kwasababu hamuwapi stahiki zao

Jiwe alikuwa Hana huruma kabisa na wafanyakaz , kawapora sana stahiki zao, sijui alikuwa anawaza nini

Wapambe wake ndio wakampa jina shujaa kwa huo udhalimu.
 
Kwa hiyo sisi wanywa gongo kwa hiyari yetu wenyewe kakichukuliaje hiki kinywaji chetu pendwa huyu bwa mdogo.
 
Na wao wakubali kukatwa kodi kama wafanyakazi wengine ndipo haki itapatikana
 
Nape alikuwepo huko lakini hata siku moja hajawahi kuongelea mambo hayo zaidi ya kuhangaika sasa
Hivi ungekuwa wewe ungeongea mbele ya jpm bora walinyamaza wakabaki hai leo wanatusemea.
 
Mwambie ile dhambi ya kufunga Bunge live kipindi kile ni waziri itatafuna mpk vitukuu vyake!
 
Dogo mnafiki utadhani nyoka aliye juu ya mwembe.
Bao la mkono. si Ni huyu na January ndio walimpoka Ndanda Kosovo ugali?
Unakumbuka bunge kutorushwa live?
Aisee kajamaa kanafiki haka.
 


Kuna wengine wanakunywa mpaka WANZUKI πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nape ni Rais ajaye
 



πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚​
 
angeyasema haya wakati jiwe yupo tungemwona wa maana sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…