Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzio wanapeleka Kilio wewe unapeleka mahari?Nimepata mchumba toka Missenyi, Kagera. Na kesho naanza safari kuelekea huko. Maombi yenu! Napewa yote
View attachment 2062648
Tareirota Ssebo, Bahaya balunji nyooo. I have one also at minziro, nemulangira!!Nimepata mchumba toka Missenyi, Kagera. Na kesho naanza safari kuelekea huko. Maombi yenu! Napewa yote
View attachment 2062648
Japo Mwenzio anapewa yote.Tareirota Ssebo, Bahaya balunji nyooo. I have one also at minziro, nemulangira!!
Mi mwanakaterero mwanakupalangaJapo Mwenzio anapewa yote.
Sio kweli Mzee. Wanawake wa kihaya wanaolewa na makabila mengine tofauti na wahaya wenzao. Kiufupi ni ngumu mwanaume mhaya ambaye ameshasafiri huko na huko kurudi kumuoa mhaya mwenzie.Hawa mabinti wa kagera kwann watu wa mikoa mingine hawawakubali hususani kwenye swala la ndoa Yan wakisikia unaoa muhaya lazima washtuke kdgo Kuna tatzo gan uko kagera??
Hongera kwa kumpata Binti. Achaguaye mke hupata kilicho Bora.Nimepata mchumba toka Missenyi, Kagera. Na kesho naanza safari kuelekea huko. Maombi yenu! Napewa yote
View attachment 2062648
Wew ni muhaya lazima uwatetee dada zako Kama wanaume wa kihaya wenyewe hawaowi kwao wanaenda kuoa mikoa mingine kwnnSio kweli Mzee. Wanawake wa kihaya wanaolewa na makabila mengine tofauti na wahaya wenzao. Kiufupi ni ngumu mwanaume mhaya ambaye ameshasafiri huko na huko kurudi kumuoa mhaya mwenzie.
Kwa sababu tunaamini katika umoja, hatupendi kujibagua au kujitenga, tunapenda kuingiliana na makabila na hata mataifa mengine. Na hivyo kutengeneza umoja wa kitaifa. Hatuna ukabila sisiWew ni muhaya lazima uwatetee dada zako Kama wanaume wa kihaya wenyewe hawaowi kwao wanaenda kuoa mikoa mingine kwnn
Hela zipi unazosema wewe unayajua maisha yanguSema Huna hela
Kuwa na pesa chumba kizima ila Kama huna amani na mke wako ilo ni tatzo ni Nani alikwambia pesa pek yke inaleta Aman na upendo ndani ya nyumbaMaelezo yako tu yanaonekana imejaa uchungu
Wew nenda kaoe mkuu ila ucje kuleta Uzi wa ulalamishi baada ya mda mfupiKuwa na pesa chumba kizima ila Kama huna amani na mke wako ilo ni tatzo ni Nani alikwambia pesa pek yke inaleta Aman na upendo ndani ya nyumba
Hakikisha godoro mtakalolalia liwe na makaratasi ya nailoni, na usisahau Katerero asije akaenda kuitafuta kwa wanaojua ndoa ikakuwia ngumuNimepata mchumba toka Missenyi, Kagera. Na kesho naanza safari kuelekea huko. Maombi yenu! Napewa yote
View attachment 2062648