"Napenda anavyonitania"

"Napenda anavyonitania"

Pachaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...........................
 

Attachments

  • 381047_nana_jpgef617d3552ad62efc41f54b19fd30060.jpeg
    381047_nana_jpgef617d3552ad62efc41f54b19fd30060.jpeg
    25.9 KB · Views: 56
Mshikaji wangu alikuwa nanitania kwa kuniita punda. Demu wake pia nae akawa akiita punda. Siku moja jamaa yangu akamweleza demu wake kuwa wananiita punda kwa sababu nina mshobobo kama wa punda.
Tangu siku hiyo, demu wake alikuwa haishi kuniomba out, mi nkawa nachomoa kwa vigezo mbalimbali, siku moja nikaamua kuitikia wito.
Tukatoka tukaenda kula kiti moto, huko nyagi na amarula ndio zilizotawala.
Ikafika saa tano, muda wa baa kufungwa nikamuomba nimrudishe kwake, akasema, hapana, najisikia mpweke, tafuta sehemu tupumzike.
Nikamsokomeza mshobobo usiku kucha, sasa kila siku ananisumbua kuwa anataka tena, kibaya zaidi hamtaki tena jamaa yangu.
Jamani, kuwepo na mipaka wa utani, utani wako na washikaji usimfikishie demu wako, wala utani wako na demu wako washikaji wasiujue

Uwii! huyo jamaa sio mwana JF? hatari inakujia kaka
 
Back
Top Bottom