Napenda kuendesha mabasi ya mkoani, nifanyeje?

Napenda kuendesha mabasi ya mkoani, nifanyeje?

Status
Not open for further replies.

AFRICAN BOYI

Senior Member
Joined
Dec 9, 2019
Posts
119
Reaction score
338
Wakuu natumai mko poa, Kuna jambo naomba mnipe muongozo tafadhali. Nimekuwa napenda Sana kwa siku nyingi kusukuma haya mabasi ya mikoani.

Napenda sana kusukuma hizo chombo, naombeni muongozo nianzie wapi mpaka kufikia hatua ya kukabidhiwa chuma la mafasa marefu.
 
Wakuu natumai mko poa, Kuna jambo naomba mnipe muongozo tafadhali. Nimekuwa napenda Sana kwa siku nyingi kusukuma haya mabasi ya mikoani.

Napenda sana kusukuma hizo chombo, naombeni muongozo nianzie wapi mpaka kufikia hatua ya kukabidhiwa chuma la mafasa marefu.
Hiyo kazi lazima upate

Anza na kuongea na madereva utapata ushirikiano mkubwa Sana .

Cha muhimu kuwa makini barabarani na kauli nzuri ili Ku- make a difference.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom