Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,822
Jamani napenda kuuliza kuhusu historia ya kabila la wasumbwa hili kabila lilianza anza vipi,walitokea wapi chimbuko lao hadi kutawanyika
Maana hili kabila lipo sana Urambo,Kaliuwa,Kahama,Geita pamoja na Chato .
Lakini pia ningependa kufahamu hivi wasubwa wanapatikana jamii ipi maana kuna watu wanasema wasubwa ni wahaa.
Kuna wengine wanasema wasumbwa ni jamiii ya waangaza, wengine wasukuma,wengine Wasubi n.k.
Kutokana na hayo naombeni mnisaidie kunipa historia ya kabila hili la wasubwaa japo halifahamiki ile kivileee.
Maana hili kabila lipo sana Urambo,Kaliuwa,Kahama,Geita pamoja na Chato .
Lakini pia ningependa kufahamu hivi wasubwa wanapatikana jamii ipi maana kuna watu wanasema wasubwa ni wahaa.
Kuna wengine wanasema wasumbwa ni jamiii ya waangaza, wengine wasukuma,wengine Wasubi n.k.
Kutokana na hayo naombeni mnisaidie kunipa historia ya kabila hili la wasubwaa japo halifahamiki ile kivileee.