Napenda kufahamu historia ya kabila la Wasubwa lilipo Tabora,Shinyanga na Mwanza

Napenda kufahamu historia ya kabila la Wasubwa lilipo Tabora,Shinyanga na Mwanza

Hao wote ni walowezi kutoka kusini. Walipokuja Tanganyika waligawanyika sehemu mbali mbali

1. Wasukuma (maana yake kasikazini) hao inazungumzia wasukuma waliolekea pande za kaskazini (shinyanga na mwanza kidogo)
2. Wadakama (Wanyamwezi) Dakama means kusini (hawa waliweka maskani yao magharibi ya tz
3 Banakiya (wa masharikii) hii inajumlisha wanantuzu wote (bariadi na meatu)
4 Banamweri (hii inamaanisha magharibi) hapa utawapata wasumbwa, wasubi, Wazinza
Ukifuatilia hao wote kuna mwingiliano mkubwa sana katika lugha yao na kwa kiasi kikubwa wanaelewana (wasukuma, wanyantuzu,wanyamwezi, wasumbwa etc)
Kusini wapi ndugu weka wazi hapa
 
Nimelewa sana kaka lakini mbona wanazungumza kisukumaa
Na kinyanwezi tuu.

Tofauti na kingoni
Huku kumetokana na mwingiloao ma makabila waliyoyakuta (wasukuma na wanyamwezi) lakini hata hivyo kina utofauti mkubwa sana wa lafudhi ma misamiati miongoni mwa kisumbwa, kisukuma na kinyamwezi. Wanelewana kea mbali sana, sawa tau ma mngoni, myao, mmatengo kule Ruvuma
 
Back to Nguni speakers, Wasumbwa ni moja ya makundi ya wangoni yaliyoingia Tanzania.
Kumbuka wangoni waliingia Tanzania kwa makundi na kwa nyakati tofauti, moja ya makundi ya Hata ni WASUMBWA walioweka masikani yao mkoani Shinyanga hususani wilayani Kahama (zamani) na kwa sasa BUKOMBE mkoani Geita katika maeneo ya Ushirombo, Masumbwe na maeneo jirani
Origin ya Wasumbwa ni Ngoni. Ngoni movements ina husisha Wings 2. Eastern iliyoishia Dodoma na Western iliyozaa wafipa, wasumbwa, wanyiha, .
 
Origin ya Wasumbwa ni Ngoni. Ngoni movements ina husisha Wings 2. Eastern iliyoishia Dodoma na Western iliyozaa wafipa, wasumbwa, wanyiha, .
Exactly, hawa ni ngoni ila wamepewa jina "wasumbwa" kama tu wanyiha, wafipa na hata wale walioko Kenya ila wote ni Nguni au Ngoni speakers
 
Historia inaonyesha kuna kundi la wangoni walielekea kahama na tabora wakimsaidia chifu wa huko kwa sababu ya ujasiri na utaalam wao wa kivita.

Jamaa walikuwa hatari sana kukutana nao.

Hebu weka baadhi ya maneno wanayotumia hao wasumbwa tuone kama yanashabihiana/kufanana na ya wangoni.
 
Hak
Hao wote ni walowezi kutoka kusini. Walipokuja Tanganyika waligawanyika sehemu mbali mbali

1. Wasukuma (maana yake kasikazini) hao inazungumzia wasukuma waliolekea pande za kaskazini (shinyanga na mwanza kidogo)
2. Wadakama (Wanyamwezi) Dakama means kusini (hawa waliweka maskani yao magharibi ya tz
3 Banakiya (wa masharikii) hii inajumlisha wanantuzu wote (bariadi na meatu)
4 Banamweri (hii inamaanisha magharibi) hapa utawapata wasumbwa, wasubi, Wazinza
Ukifuatilia hao wote kuna mwingiliano mkubwa sana katika lugha yao na kwa kiasi kikubwa wanaelewana (wasukuma, wanyantuzu,wanyamwezi, wasumbwa etc)
ika wewe ndiye mkweli
 
Historia inaonyesha kuna kundi la wangoni walielekea kahama na tabora wakimsaidia chifu wa huko kwa sababu ya ujasiri na utaalam wao wa kivita.

Jamaa walikuwa hatari sana kukutana nao.

Hebu weka baadhi ya maneno wanayotumia hao wasumbwa tuone kama yanashabihiana/kufanana na ya wangoni.
Tyani.vipi? Yewa wewe mwalalaa zaasubuh tuzyee tugone twende tukalare Nami nimonimo
 
Hao ni watuta siyo wasumbwa.
Back to Nguni speakers, Wasumbwa ni moja ya makundi ya wangoni yaliyoingia Tanzania.
Kumbuka wangoni waliingia Tanzania kwa makundi na kwa nyakati tofauti, moja ya makundi ya Hata ni WASUMBWA walioweka masikani yao mkoani Shinyanga hususani wilayani Kahama (zamani) na kwa sasa BUKOMBE mkoani Geita katika maeneo ya Ushirombo, Masumbwe na maeneo jirani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku kumetokana na mwingiloao ma makabila waliyoyakuta (wasukuma na wanyamwezi) lakini hata hivyo kina utofauti mkubwa sana wa lafudhi ma misamiati miongoni mwa kisumbwa, kisukuma na kinyamwezi. Wanelewana kea mbali sana, sawa tau ma mngoni, myao, mmatengo kule Ruvuma
Msumbwa anaelewana zaidi na mnyamwezi ila mila na tamaduni hakuna tofauti kubwa kwa wote wasukuma, wanyamwezi, wasumbwa na hata warongo na wazinza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawakuwa wengi hivyo walimezwa na wanyamwezi. Na kisukuma chao ni tofauti na kisukuma cha Mwanza.
Wasumbwa wanaongea lugha yao ya kisumbwa ila wanajua kuzungumza kisukuma kwa sababu ndio lugha kuu ya maeneo wanayoishi. Msukuma hawezi kuongea kisumbwa au kirongo na kizinza lakini kwa kuwa makabila hayo ni madogo wanaongea kisukuma vizuri tu maana wasukuma ndio wengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mama yangu msumbwa wa Urambo, kiukweli Kabila hili ni gumu sana kutambua asili yake wengine wanasema asili Yake Rwanda, wengine wanasema wasumbwa ni wanyamwezi ni moja ya subtribes ya wanyamwezi kama wakimbu, wagalaganza, wanyanyembe, wasenye, wayumbu, wayubi, wayombo, warambo, du !! Ifahamike tu wanyamwezi sio kabila .....na wanyamwezi wanapatikana DR Congo Kisangani, na Wengine Huko Fortpotal Uganda
Sawa kabisa.
 
Mkuu mama yangu msumbwa wa Urambo, kiukweli Kabila hili ni gumu sana kutambua asili yake wengine wanasema asili Yake Rwanda, wengine wanasema wasumbwa ni wanyamwezi ni moja ya subtribes ya wanyamwezi kama wakimbu, wagalaganza, wanyanyembe, wasenye, wayumbu, wayubi, wayombo, warambo, du !! Ifahamike tu wanyamwezi sio kabila .....na wanyamwezi wanapatikana DR Congo Kisangani, na Wengine Huko Fortpotal Uganda
Na wanyamwezi wanatokea Gaboni,west-central Africa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom