Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Bora kuwafungia safari tu kama unawezaShida iko kwenye kuwaleta. nilijaribu kuwasiliana na baadhi ya wauzaji wa huko lakini nilipatwa na mashaka na response zao.
niliweka mawasiliano yangu kwenye si moja , hivyo nimekuwa nikipokea quotation kadhaa ambazo nahisi asilimi kubwa ni wapigaji.
Hivi juzi kati kuna mtu moja alinitumia mesejei kwenye simu akidati yeye ni mfanyabiashara ya kule ta hao mbuzi ila yuko Kenya.
Hii itakuwa nzuri zaidi, ni bora uende mwenyewe hata kama ni south Africa kufuata kuliko kuuziwa copy mkuuBora kuwafungia safari tu kama unaweza
Matapeli wengi sana siku hiziHii itakuwa nzuri zaidi, ni bora uende mwenyewe hata kama ni south Africa kufuata kuliko kuuziwa copy mkuu
hawa nimewahi waona mbeya CRDB kwa nyuma kuna bar moja maarufu sana wanachoma mbuzi wa aina hiiHabari wakuu.
Katika harakati za kupata maarifa mapya mtandaoni nilikutana na hawa mbuzi (picha chini) maelezo niliyosoma kuwahusu ni kuwa;
hawa ni mbizi wa nyama wanao uwezo mkubwa wa kupata uzito hadi kufikia kg 150 kwa dume. Pia jike lake hufika hadi kg 120 na huzaa mapacha.
Maelezo yanasema kuwa hawa mbuzi licha ya kuwa na miili mikubwa na pembe ni wapole. Na ni mbuzi wanaofaa sana kwa ufigaji wa mbuzi wa nyama.
Kwa bahati mbaya niliposoma habari ya kuwahusu mbuzi hawa hapakuwa na taarifa nilizoitaji kuzifahamu kuwahusu, sasa naleta kwenu wandugu kwa anayewafahamu anijuze haya yafuatayo:-
1. Wanapatikana wapi kwa hapa Tz
2. Wanachukua muda gani kuwakuza
3. Gharama za matunzo yao kwa wastani wa mbuzi 3. (Dume 1, jike 2)
4. Changamoto na ufugaji wake kwa jumla
Nimeambatanisha na picha zao
View attachment 933263
View attachment 933265
Natanguliza shukrani wakuu.
Tatizo liko kwenye process ya kuwaletaBora kuwafungia safari tu kama unaweza
Hilo ndio tatizo huko, yaani kila kitu ni kigumuTatizo liko kwenye process ya kuwaleta
Bei mtoto kila banda ni 150,000. Mkubwa maelewano kuanzia 450,000 ni mbuzi mkubwa sana mwenye kg 80+. Fika 8-8 mwakani Arusha kuna vitu vizuri sana
USINISAHAHU KWENYE UMALKIA WAKO!Kuna mzee anao ila uzito huo sijui kama wanafika
Wanaridhika na hali na wanazaa mapacha,
Aliniambia mtoto aliyemaliza kunyonya ana muuza 80,000
Nikamwambia ngoja nikafikirie, nikasahau leo ndo naona hapa nakumbuka
SASA NDO PA KUMTAFUTI SOKO HAPA!kuna jamaa angu dr wa mifugo ni wakala wa hizo products yuko tabata
[emoji101]Duh!.kuzaa mapacha ni guarantee? Au ni mbuzi wa gmo?
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Yale yale bei za sungura. Mfugaji anauziwa bei mara 10 ya bei yenyewe ya sungura kisa anamanyoya mengi
lolKuna jamaa alileta picha na watu wakanunua picha, shauri yako
thanks mkuuNimeattach picha moja hapo ina mawasiliano nyingine zilifutika. Ukipata muda nenda meru, siha, karatu wapo mpk vijijini ila wengi ni uzito wa 70-100kg asili yao ni Switzerland. Au ulizia makanisa ya kkkt kaskazini (wenye project) watakulink na wafugaji .
hudhuria maonesho ya 8-8 Arusha mwakani utawakuta kwa wingi na utanunua hapo hapo kwa bei tajwa.
Ufugaji wake ni wa ndani wanakatiwa nyasi hawatoki nje
hv kwann tanzania hatupo kama hawa wenzetu wakenya?..........mkuu kenya ni wafugaji wazuri wa mbuzi wa maziwa hata mbuzi wa nyama pia wenyewe wanabord ya ubora na wanyama wanasajiliwa kulingana na breed zao na ukitaka kununua breed pure unapata kupitia kwao, pia fanya kupilia page yao ya fb inaitwa MKULIMA YOUNG natumai utakutanan na wafugaji wengi na ndo itakuwa mwanzo wako kupata utakacho
city pubhawa nimewahi waona mbeya CRDB kwa nyuma kuna bar moja maarufu sana wanachoma mbuzi wa aina hii