Napenda kuifahamu Tanganyika Law Society(TLS)

Ujinga ujinga... Tu.... Muda mwingine memory card ya Kichwa inatakiwa iwe na free space Kwa ajili ya kujaza vitu vya... Msingi..

Chagadema mtambue hiyo TLS ni sawa tu na chama cha makuli Tanzania au Chama cha wakulima wa korosho Tanzania sasa msitupigie kelele Kwa vitu visivyo na Msingi Mbona umoja wa Makuli ukifanya uchaguzi wao hampigi kelele....
 
Achaneni Uongoo nyie wapinzani mshazoeleka mkipa cha kuongea mtaongea kila siku Kwani Lissu yupo Bongo toka Lini acheni Uhunii Majaji hawaoni hayo unayo yasema ila wakili ndio anaona? Mwananchi kaonewa kipi kisheria na Magufuli? Nani kakwambia Mawakili wapo CCM?
 
Lissu ni mwanachama kutwa anashinda mahakamani kwa kesi za ovyo. Tatizo halikuwa tls bali uongozi ulitekwa na serikalli. Huyo wakili si ajitete kama lissu kwenye kesi zake. Subiri uone moto wa lissu sass.
 
TlS ifutwe haina faida kwa Taifa

Lisu ataipeleka kisiasa TLS
Mnaoshabikia watawala nawashangaa na hoja zenu nyepesi nyepesi!! Hivi hawa wote Rais, mawaziri, wabunge, wateule wa bwana mkubwa ktk taasisi za umma kabla ya kushika nafasi hizo si wametumia jukwaa la kisiasa ??!!. Je leo tuwakatae kwa sababu wao ni zao la kisiasa ?!

Je hizi taasisi hizi zinapoongozwa na wale wenye itikadi za ki ccm ndiyo siyo siasa ??!!. MTz msomi na mzalendo kama Lisu ana haki kugombea nafasi yoyote ilimradi amefuata utaratibu.

Kama ina wauma sana mpambanisheni na Werema, Tulia, AG au hata waziri wa sheria Mwakyembe bado wanasheria watamchagua Lisu kwa sababu ya ueledi wake na si uanasiasa wake.
 
Wenye akili na uelewa wanajua nini maana n.a. muhimu wake.Usipougua huwezi kujua maana n.a. muhimu wa daktari!
 
So umepanic braza?
 
Faida za Wakili ndizo faida za TLS. TLS ni forum tu ya Mawakili. Propaganda zenu zimekufa kifo cha mende. Bure kabisa!
 
Si umesema hauna chama? Acha utapeli na usanii
 
dah mkuu nimependa jibu lako,kula big tano huko uliko
 
Ccm wote wamenuna kutokana kuchaguliwa kwa lisu mpa mwenyekit wao taifa hana amani maana sasa kapata fimbo ya kumchapa hapa utoto hakuna tena
 
Isingekuwa n.a. muhimu Pombe ssingeongelea ushahidi wa viongozi wa TLS.Pia hoja ya polish kukamata bila halali n.a. kutesa watuhumiwa ni dosari ambaye inatakiwa kudhibitiwa n.a. magwiji wa sheria.TLS Imara ndiyo jibu.
 
"Na upinzani kazi yao ni kukuza mambo" Sijui kama wewe ulikuwa Tanzania ktk kipindi cha mwezi mmoja miwili iliyopita. Waliokuwa TLS ni JPM na Mwakyembe wake. Siyo wapinzani kama unavyosema
 
Isingekuwa n.a. muhimu Pombe ssingeongelea ushahidi wa viongozi wa TLS.Pia hoja ya polish kukamata bila halali n.a. kutesa watuhumiwa ni dosari ambaye inatakiwa kudhibitiwa n.a. magwiji wa sheria.TLS Imara ndiyo jibu.
Wapi Magufulia Aliongea! Ila upinzani ni Kawaida hata umeya huwa hivi hivi
 
Majukumu ya kuanzisha kwa TLS ni hayo yafuatayo kwa hapa Tanzania:
  • To maintain and improve the standards of conduct and learning of the legal profession in Tanzania;
  • To facilitate the acquisition of legal knowledge by members of the legal profession and others;
  • To assist the Government and the Courts in all matters affecting legislation and administration and practice of the law in Tanzania;
  • To represent, protect and assist members of the legal profession in Tanzania as regards to conditions of practice and otherwise;
  • To protect and assist the public in Tanzania in all matters touching, ancillary or incidental to the law.
Sidhani kama kuna mengine zaidi ya hayo
 
Muulize Pombe kwa nini hazungumzii chaguzi kama za TFF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…