Napenda kuifahamu Tanganyika Law Society(TLS)

Napenda kuifahamu Tanganyika Law Society(TLS)

Na Mimi labda nikuulize tu Mkuu hivi kuna faida gani ya kuwa na Police Tanzania ambayo huwa inakurupuka kuwakamata Watu hovyo hovyo halafu wanaumbuka mbele ya safari?

Na swali langu la nyongeza Kwako hivi kuna faida gani Tanzania tunaipata hasa baada ya Mteule kupewa ushahidi wote juu ya mmoja wa Watumishi wake kudanganya Jina lake na anashirikiana na drugs barons kadhaa nchini lakini bado ametuwekea nta masikioni Watanzania?

Nitashukuru ukinijibu Mkuu na nayasubiri kwa hamu sana majibu ya hayo maswali mawili Kuntu niliyoyauliza hapo juu.
Baelezeee mana leo kichefuchefu cha mimba changa kitawasumbua sana
 
Tunachosema haki imeshinda udhalimu whatever the case maybe. Cha kwanza uchaguzi umefanyika na TL ndiyo rais ataiongozaje tutakuwa kesho. Kwa sasa ni sherehe kwanza. Mengine baadaye.


Bado 2020 mtazidi kuaibika tu, hakika nawaambia ccm mtaaibika. Hizi ni dalili za mvua mmeshaona mawingu yakidondosha rasharasha sasa subiri ni mvua. Ndipo mtajua TZ sio maccm. Natamani niwatukane lkn acha nistahi ustaarabu wangu. Kila nawachukia hadi basi.
 
Kwanza Hayo siyo Maswali Kuntu! Tukianza na swali lako la Kwanza! Kazi ya Polisi ni kulinda amani na usalama wala Raia wake! Kumbuka Polisi sio mahakama wala sio majaji! Kazi ya polisi ni kuwafikisha watuhumiwa kule wanakotakiwa Mambo ya Ana haki au hana haki huja baadae hii ni kwa nchi zote dunianiii!! Ndio maana kukawa na Mahakama Sidhani kama wewe Ukimkuta Mwizi nyumbani kwako polisi wakija utataka waanze kuhukumu Kesi kama kaiba kweli au hajaiba....watakacho fanya ni kumfikisha Katika vyombo vya sheria vinavyo takiwaaa!!!

Swali lako la pili.....Serikali haiongozwi na instagram Tuhuma zote mnazo zitoa hazina Ushahidi hata kidogoooooooooo......Kama mnatuma ambazo zina ushahidi si dhani kama Instagram na Kanisani ni mahali sahihi pakuoneshaaa tuhuma zenu na kusubiri majibu!! Leteni ushahidi tuanze na wewe ushahidi uliona nao ni upii toa ushahidi! Mfano ukisema fulani ana Vyeti feki toa ushahidiii ni simplee tuuu Haiana haja ya kubishana mfano Kuna mtu alisema ana Vyeti vyake ni kwanini asiviweke kuonesha huo ushahidi? Kwanini msiendee mahakamani?

Nilishawahi kuandika hapaa kuhusu hilo na ninashukuru meya wa Dar alinisikiliza na Amesema J4 anaenda mahakamani means huyo ana Ushahidiiii na huyo ndio msomi tunae mtaka kama Akishindwa kesii na Akiambiwa amlipe Fidia mtuhumiwa Msisite kumsaidia!

Lakini kuendelea kulia kwenye Insta sio solution?

Tuendelee na mjadala wetu Nipe Faida za TLS
You are a great thinker my brother....big up
 
Note... Lissu aliwahi kutoa huduma ya kisheria bure kwa wananchi wa tarime kwa miezi minne aliwatoa gerezani wafungwa 366.
Mkuu hii kitu sijawahi sikia unaweza shuka full data hapa ili uma ufaidike
 
mpe darasa huyo mwana kwetu
tatizo wanawachukulia poa wanasheria. hawajui kuwa hata rizmoko anamsapoti lisu kwasababu kwa kudharauliwa kwa kada ya sheria kulikofanya na msukuma yule, wanasheria wanatakiwa kumtia adabu na kiboko pekee ni lisu. wanasheria wooote tz wataungana kitakuwa kitu kimoja na serikali haitakuwa inapambana na mtu mmoja bali rundo la wanasheria. hapo ndipo patakuwa patamu sana.
 
Wana Jf nataka kujua rais wa TLS ana dumu kwa miaka mingapi? Na Je muda wake ukiisha anaruhusiwa kugombea tena? Na Kama anaruhusiwa kugombea tena, anaruhusiwa kugombea mwisho awamu ngapi?
 
Mwezi mmoja tu hivyo subirini mwezi April Lisu anatoka.
 
Wana Jf nataka kujua rais wa TLS ana dumu kwa miaka mingapi? Na Je muda wake ukiisha anaruhusiwa kugombea tena? Na Kama anaruhusiwa kugombea tena, anaruhusiwa kugombea mwisho awamu ngapi?[/QUOTE
 
Lumbumba imepata kifafa kwa haya matokeo ya kushtua leo
 
miaka buku 1000 ko ni mpaka muisomeeee namba fisiemu ndo atatokaaaaa
 
Kipi wamewahi kufanyaaa Ikaonesha wao ndio Stop engine
Ndicho kinamfanya mwakyembe atishie kuifuta!
Kwa maana serikali haitaki hiyo stop engine itumike, wanatumia mitulinga ya mapolisi.
 
Wakuu habari zenu!
Hivi karibuni kumekuwa na hii kitu TLS (Tanganyika Law Society) iki-trend sana hapa nchini kwetu. Na hivi leo kulikua na uchaguzi ambapo bwana Tundu Lisu ameibuka kidedea na kuwa rais mpya wa chama hiko.

Binafsi nikiri tu wazi huko awali sikuwahi kulisikia hili neno TLS na wala sijui ni kitu gani na wanahusika na nini? Japo kwasasa nafahamu ni chama cha wanasheria. Ila bado sijatosheka.

Je hii TLS ina impact gani na nchi yetu especially kwenywe masuala ya kiutawala?

Je mh. Tundu Lisu kushinda kwake kuna advantage yeyote upinzani na tutegemee nini kutoka kwake?

Kazi gani hawa TLS wanafanya? Na kabla ya hapo kwanini ilikua haina kiki?

Rais aliepita alikua ni nani?

Naamini kuna wanasheria hapa wanaweza kunisaidia mimi pamoja na wengine wasioihafamu hii kitu TLS

Wa salaam
 
Back
Top Bottom