tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Baelezeee mana leo kichefuchefu cha mimba changa kitawasumbua sanaNa Mimi labda nikuulize tu Mkuu hivi kuna faida gani ya kuwa na Police Tanzania ambayo huwa inakurupuka kuwakamata Watu hovyo hovyo halafu wanaumbuka mbele ya safari?
Na swali langu la nyongeza Kwako hivi kuna faida gani Tanzania tunaipata hasa baada ya Mteule kupewa ushahidi wote juu ya mmoja wa Watumishi wake kudanganya Jina lake na anashirikiana na drugs barons kadhaa nchini lakini bado ametuwekea nta masikioni Watanzania?
Nitashukuru ukinijibu Mkuu na nayasubiri kwa hamu sana majibu ya hayo maswali mawili Kuntu niliyoyauliza hapo juu.
You are a great thinker my brother....big upKwanza Hayo siyo Maswali Kuntu! Tukianza na swali lako la Kwanza! Kazi ya Polisi ni kulinda amani na usalama wala Raia wake! Kumbuka Polisi sio mahakama wala sio majaji! Kazi ya polisi ni kuwafikisha watuhumiwa kule wanakotakiwa Mambo ya Ana haki au hana haki huja baadae hii ni kwa nchi zote dunianiii!! Ndio maana kukawa na Mahakama Sidhani kama wewe Ukimkuta Mwizi nyumbani kwako polisi wakija utataka waanze kuhukumu Kesi kama kaiba kweli au hajaiba....watakacho fanya ni kumfikisha Katika vyombo vya sheria vinavyo takiwaaa!!!
Swali lako la pili.....Serikali haiongozwi na instagram Tuhuma zote mnazo zitoa hazina Ushahidi hata kidogoooooooooo......Kama mnatuma ambazo zina ushahidi si dhani kama Instagram na Kanisani ni mahali sahihi pakuoneshaaa tuhuma zenu na kusubiri majibu!! Leteni ushahidi tuanze na wewe ushahidi uliona nao ni upii toa ushahidi! Mfano ukisema fulani ana Vyeti feki toa ushahidiii ni simplee tuuu Haiana haja ya kubishana mfano Kuna mtu alisema ana Vyeti vyake ni kwanini asiviweke kuonesha huo ushahidi? Kwanini msiendee mahakamani?
Nilishawahi kuandika hapaa kuhusu hilo na ninashukuru meya wa Dar alinisikiliza na Amesema J4 anaenda mahakamani means huyo ana Ushahidiiii na huyo ndio msomi tunae mtaka kama Akishindwa kesii na Akiambiwa amlipe Fidia mtuhumiwa Msisite kumsaidia!
Lakini kuendelea kulia kwenye Insta sio solution?
Tuendelee na mjadala wetu Nipe Faida za TLS
Mkuu hii kitu sijawahi sikia unaweza shuka full data hapa ili uma ufaidikeNote... Lissu aliwahi kutoa huduma ya kisheria bure kwa wananchi wa tarime kwa miezi minne aliwatoa gerezani wafungwa 366.
TLS ya CCM isingeweza kufanya chochote cha maanaSheria gani Iliyo Vunjwaa? Na wakati inavunjwaa TLS haikuwepooo?
tatizo wanawachukulia poa wanasheria. hawajui kuwa hata rizmoko anamsapoti lisu kwasababu kwa kudharauliwa kwa kada ya sheria kulikofanya na msukuma yule, wanasheria wanatakiwa kumtia adabu na kiboko pekee ni lisu. wanasheria wooote tz wataungana kitakuwa kitu kimoja na serikali haitakuwa inapambana na mtu mmoja bali rundo la wanasheria. hapo ndipo patakuwa patamu sana.mpe darasa huyo mwana kwetu
Wana Jf nataka kujua rais wa TLS ana dumu kwa miaka mingapi? Na Je muda wake ukiisha anaruhusiwa kugombea tena? Na Kama anaruhusiwa kugombea tena, anaruhusiwa kugombea mwisho awamu ngapi?[/QUOTE
Lakin atawanyooshaMwezi mmoja tu hivyo subirini mwezi April Lisu anatoka.
Ili iweje??Tunataka vyeti vya BASHITE
Ndicho kinamfanya mwakyembe atishie kuifuta!Kipi wamewahi kufanyaaa Ikaonesha wao ndio Stop engine
Huo ni ulimbukeni Taja Faida za TLS kuwa msomi