Napenda kujua brand nzuri ya saa na bei zake

Napenda kujua brand nzuri ya saa na bei zake

Ni bora useme unahitaji kujua saa za kiwango kipi, cheap zitakuwa za kichina , Ila huko kwa mabeberu Kuna saa Kama F.P journe , Richard miles kwa mwaka juzi Bei zao kwa entry level model ilikuwa ni Dola 30000, na Kuna model zilikuwa zinafika Hadi million dola
Mimi huwa nashangaa sana unakuta mtu kavaa Rolex unaonekana kabisa ni mdosho ila anakazana ni orijino ukimuuliza kanunua shingapi anakwambia milioni sasa jamani kuna Rolex gani ya milioni?

Sisi tuishie tu kuvaa hizi Casio ila hizo brand za Uswizi hatuziwezi
 
Mi huwa nashangaa sana unakuta mtu kavaa Rolex unaonekana kabisa ni mdosho ila anakazana ni orijino ukimuuliza kanunua shingapi anakwambia milioni sasa jamani kuna Rolex gani ya milioni?

Sisi tuishie tu kuvaa hizi Casio ila hizo brand za Uswizi hatuziwezi

BLU Cess IMG-20200709.jpg
 
Poleni na majukumu,

Napenda kujua brand nzuri ya saa na bei zake especially saa za kike kama una picha unaweza share
Asanteni.
Kampuni ya Rolex au swiswatch ya Uswisi ina saa nzuri sana na kampuni zingine pia za hukohuko Switzeland, Uswisi ni nchi inayotambulika duniani kuwa ni manufacturer wa saa nzuri sana tangu enzi...ikifuatiwa na saa za Japan.
 
Mi huwa nashangaa sana unakuta mtu kavaa Rolex unaonekana kabisa ni mdosho ila anakazana ni orijino ukimuuliza kanunua shingapi anakwambia milioni sasa jamani kuna Rolex gani ya milioni?

Sisi tuishie tu kuvaa hizi Casio ila hizo brand za Uswizi hatuziwezi
Kwa hiyo kutofautisha saa original na feki unaangalia bei?
 
Mi huwa nashangaa sana unakuta mtu kavaa Rolex unaonekana kabisa ni mdosho ila anakazana ni orijino ukimuuliza kanunua shingapi anakwambia milioni sasa jamani kuna Rolex gani ya milioni?

Sisi tuishie tu kuvaa hizi Casio ila hizo brand za Uswizi hatuziwezi
Hahaha...yaleyale na wauzaji wa jezi za klabu za ulaya kusema wanauza jezi original kwa tsh.35k..Jezi gani original ya klabu kubwa inayouzwa kwa £10?
 
Rolex kibongobongo..bei kuanzia 60000 ingawa kuna za laki3 pia
 
Diesel. Bei zake original kuanzia laki 150. Kama ni kawaida kuanzia 50
 
Back
Top Bottom