ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,676
- 3,451
Mimi huwa nashangaa sana unakuta mtu kavaa Rolex unaonekana kabisa ni mdosho ila anakazana ni orijino ukimuuliza kanunua shingapi anakwambia milioni sasa jamani kuna Rolex gani ya milioni?Ni bora useme unahitaji kujua saa za kiwango kipi, cheap zitakuwa za kichina , Ila huko kwa mabeberu Kuna saa Kama F.P journe , Richard miles kwa mwaka juzi Bei zao kwa entry level model ilikuwa ni Dola 30000, na Kuna model zilikuwa zinafika Hadi million dola
Mi huwa nashangaa sana unakuta mtu kavaa Rolex unaonekana kabisa ni mdosho ila anakazana ni orijino ukimuuliza kanunua shingapi anakwambia milioni sasa jamani kuna Rolex gani ya milioni?
Sisi tuishie tu kuvaa hizi Casio ila hizo brand za Uswizi hatuziwezi
Kampuni ya Rolex au swiswatch ya Uswisi ina saa nzuri sana na kampuni zingine pia za hukohuko Switzeland, Uswisi ni nchi inayotambulika duniani kuwa ni manufacturer wa saa nzuri sana tangu enzi...ikifuatiwa na saa za Japan.Poleni na majukumu,
Napenda kujua brand nzuri ya saa na bei zake especially saa za kike kama una picha unaweza share
Asanteni.
Hongera mkuu kwa kutembea na nyumba mkononi
Kwa hiyo kutofautisha saa original na feki unaangalia bei?Mi huwa nashangaa sana unakuta mtu kavaa Rolex unaonekana kabisa ni mdosho ila anakazana ni orijino ukimuuliza kanunua shingapi anakwambia milioni sasa jamani kuna Rolex gani ya milioni?
Sisi tuishie tu kuvaa hizi Casio ila hizo brand za Uswizi hatuziwezi
Dah! Bro umenipiga Technical Knockout.Hongera mkuu kwa kutembea na nyumba mkononi
Hahaha...yaleyale na wauzaji wa jezi za klabu za ulaya kusema wanauza jezi original kwa tsh.35k..Jezi gani original ya klabu kubwa inayouzwa kwa £10?Mi huwa nashangaa sana unakuta mtu kavaa Rolex unaonekana kabisa ni mdosho ila anakazana ni orijino ukimuuliza kanunua shingapi anakwambia milioni sasa jamani kuna Rolex gani ya milioni?
Sisi tuishie tu kuvaa hizi Casio ila hizo brand za Uswizi hatuziwezi
Kuna huu mkonyezo uko poaView attachment 1563616View attachment 1563617
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Mkuu, nimezipenda hzo picha ya pili, zinarange shilling ngapi..?Chagua Kati ya hizo Hapo
Kumbe ni fake mkuu, nikidhani ni majiwe kidogo At least ranging ya 40000+...!!
Hakuna wote wanafyatua ChinaNatamani kufahamu Duka linalouza saa nzuri na original kwa Dar es Salaam
nenda bablas pale posta karib na sanam la bismin.ila usije kimbia beiNatamani kufahamu Duka linalouza saa nzuri na original kwa Dar es Salaam