[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]we msaidie ujuacho maadamu ameelewekamwanangu hii lugha ni ya wapi?
Mwenyewe hutaweza kuna ma agent ndio kazi zao wapate haoHabar wakuu naomben kuuliza je kwamfano nikawa nmeagiza gari yangu toka nje naimefika bandali ya dar.vp kuusu ghalama na proses zakulitoa gar zinakuaje??
Aisee! 😆 😆 😆 😆 😆mwanangu hii lugha ni ya wapi?
monta naandika majina tumkaushie tumwanangu hii lugha ni ya wapi?
Sasa kwa taarifa yako hawa wa hivi ndiyo matajiri mjini humu,halafu hata hawajui kuwa ni matajiri,wanaishi very simple,kuna dogo mmoja mkibosho alikuwa akidanya umachinga wa kutembeza pipi kwenye ki box miaka kadhaa iliyopita,alikuwa hajui hata A inaandikwaje,baadaye akapata kazi ya kufuta bidhaa kwenye kiduka kidogo cha kuuza simu,akajiongeza aksfungua kibanda chake kama hicho,sasa hivi ni don wa kutamanika,ana maduka,majumba,magari,na investment kibao karibu majiji yote ya tanzania,usiwadharau mkuuHela umezitoa wapi mwana shule ulikuwa unaangalia watoto wazuri tu
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Asante mkuu so na mfano nimeinunua kwa gharama ya shilingi milion 4 je iliniweze kabiziwa gari napwaswa kua ni kiasi gani mkuuhizo process hazikuhusu, wewe tafuta hela wape document na hela kampuni ya clearing wakukabidhi gari
Asante mkuu so na mfano nimeinunua kwa gharama ya shilingi milion 4 je iliniweze kabiziwa gari napwaswa kua ni kiasi gani mkuu
Kaka mbona hii inaanzia mwaka 2014?Vipi nikinunua gari ya mwaka 2000 au gari ya mwaka 1995?
Labda umekosea kituKaka mbona hii inaanzia mwaka 2014?Vipi nikinunua gari ya mwaka 2000 au gari ya mwaka 1995?
Nafikiri changamoto yangu ni kwenye kujaza model.Kwenye website ya beforward hizi model ninazipata sehemu gani?Labda umekosea kitu
Gari ya beyond 10yrs since date ya manufacture, inachajiwa kodi 2 yaani excise duty ya kawaida kwa kila gari (mpya or old) na pia excise duty on age (to discourage import of old vehicle to United Republic) all in all, to clear your import (any) from the port (airport au bandarini) you have to do it via a 'clearing and forwarding agent) ,this is a legal requirement. Otherwise bandarini kungekuwa kama stand ya ubungo asubuhi [emoji2]Labda umekosea kitu