Napenda kujua ukweli kuhusu kuku village

Napenda kujua ukweli kuhusu kuku village

Inalipa

Member
Joined
Jun 30, 2022
Posts
63
Reaction score
77
Nahisi kama kuna michezo nachezewa na hawa jamaa. Nilituma kiasi cha laki kadhaa kwa ajili ya kupata vifaranga vya kuku kama wanavyojinasibu, lakin mpaka sasa nahis nipo gizani.>Ndo niseme nimepigwa?
 
Ndo maana nimeuliza kama kuna kuna mwenye utambuzi na haya mambo...maana wasiwasi umeshanianza, maana ata kwenye group lao whatspp wamenifuta silioni.
 
Nahisi kama kuna michezo nachezewa na hawa jamaa. Nilituma kiasi cha laki kadhaa kwa ajili ya kupata vifaranga vya kuku kama wanavyojinasibu, lakin mpaka sasa nahis nipo gizani.>Ndo niseme nimepigwa?
Unauliza baada ya kutuma, ujinga mtupu.
 
Nahisi kama kuna michezo nachezewa na hawa jamaa. Nilituma kiasi cha laki kadhaa kwa ajili ya kupata vifaranga vya kuku kama wanavyojinasibu, lakin mpaka sasa nahis nipo gizani.>Ndo niseme nimepigwa?
Pole sana mkuu, kupoteza ni sehemu moja wapo ya kujifunza, kuanzia sasa naimani huwezi kuwa mwepesi tena katika kufanya maamuzi ya kutuma pesa kwa watu usiowajua vizuri

Tambua tu kuwa wanaopigwa sio wewe peke yako, kwahiyo usije kujihisi labda wewe ndio kilaza kuliko wengine, hao matapeli hadi wamefkia hatua ya kutopatikana na kufuta group la WhatsApp maana yake mshapigwa wengi

ila Kwa manufaa ya wengi ingekuwa ni vizuri ungesema ulipata vipi taarifa zao, kama ni mitandaoni/kuambiwa/vipeperushi, hawa jamaa waga wanachange tu majina ila wanabaki na mbinu zile zile kwahiyo kupitia wewe unaweza kuokoa wengine

Na kama kuna watu Una wafahamu labda uliwahi kuwambia juu ya hao watu basi ni vyema ukawajuza kuwa hao watu ni matapeli kwahiyo wasitishe zoezi la kutuma pesa
 
Pole sana mkuu, kupoteza ni sehemu moja wapo ya kujifunza, kuanzia sasa naimani huwezi kuwa mwepesi tena katika kufanya maamuzi ya kutuma pesa kwa watu usiowajua vizuri

Tambua tu kuwa wanaopigwa sio wewe peke yako, kwahiyo usije kujihisi labda wewe ndio kilaza kuliko wengine, hao matapeli hadi wamefkia hatua ya kutopatikana na kufuta group la WhatsApp maana yake mshapigwa wengi

ila Kwa manufaa ya wengi ingekuwa ni vizuri ungesema ulipata vipi taarifa zao, kama ni mitandaoni/kuambiwa/vipeperushi, hawa jamaa waga wanachange tu majina ila wanabaki na mbinu zile zile kwahiyo kupitia wewe unaweza kuokoa wengine

Na kama kuna watu Una wafahamu labda uliwahi kuwambia juu ya hao watu basi ni vyema ukawajuza kuwa hao watu ni matapeli kwahiyo wasitishe zoezi la kutuma pesa
YouTube.....brand yao KUKU VILLAGE
 
Kwahyo Ulipoambiwa Inalipa na ww Ukaona ushatajirika tyr na Jina ukajiita Ivyo[emoji1787][emoji1787]?

Pole sana Mkuu Inalipa
 
Back
Top Bottom