Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,272
Habari wana JF,
Napenda kujua utaratibu wa kufuata kufungua kampuni ya betting kama ilivyo sportpesa, meridian na kadhalika!
Utaratibu ukoje?
NB: Process za brela nazijua,
Tuanzie kwenye vibali, mtaji na mengineyo!
Napenda kujua utaratibu wa kufuata kufungua kampuni ya betting kama ilivyo sportpesa, meridian na kadhalika!
Utaratibu ukoje?
NB: Process za brela nazijua,
Tuanzie kwenye vibali, mtaji na mengineyo!